Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa kwanini hajasajili. Ishu siyo mpira ishu ni matokeo.

Kama bodi ya chelsea isingekuwa ya kisenge huenda Konte angekuwepo mpaka leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bodi ya Chelsea ndio yenye shida, Lampard kageuka kuwa mlalamikaji kama mashabiki. Alitamani sana Januari kuwepoo na striker mzoefu ila Bodi ya Chelsea naona wamebadili mbinu za kufanya biashara. Wanafuata nyayo za Asene Wenga wa kukuza vipaji8 na kuwauza ili wenye timu wapate faida
 
Kama nitatoka top 4 basi wa kuingia hapo ni totte au wolves na siyo hii takataka man u... kwanza leo mtamjua adama traore ni nani. Yaani huyo Halima Gwaya lazima atambae...
Hiki kikundi cha wahuni (chelshitty) umu mpo?

Sasa ni muda muafaka kupisha wanaume Top4

Sent using Jamii Forums mobile app
255767972700_status_d449f32e5530424d920d695704c1359e.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo nimekuambia apo, Evans kakosa clear chance kutoka katika kona...

Nadhani kama umeangalia mechi utakua umeona

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umesema Chelsea tumeendelea kufungwa kwa set pieces nikakujibu leo hakuna goli tulilofungwa kwa set pieces wewe unaleta ya Evan kukosa goli.
 
Hivi unafaham ktk game 5 za mwisho EPL umeshinda game 1 tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli tumepata droo 3 kufungwa moja na kushinda moja
Man u kashinda mbili kafungwa 3 kwa maneno mengine Chelsea tumepoteza pts 6 Man U 9 kwenye mechi 5 za nyuma hao wengine ndio tusiseme. Tukiongea kwa mahesabu hao wanaume wako wako hoi bin taabani
 
Ukidraw mechi 3 na kupoteza 1 umepoteza point 6??hizi hesabu za wapi?
Ni kweli tumepata droo 3 kufungwa moja na kushinda moja
Man u kashinda mbili kafungwa 3 kwa maneno mengine Chelsea tumepoteza pts 6 Man U 9 kwenye mechi 5 za nyuma hao wengine ndio tusiseme. Tukiongea kwa mahesabu hao wanaume wako wako hoi bin taabani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli tumepata droo 3 kufungwa moja na kushinda moja
Man u kashinda mbili kafungwa 3 kwa maneno mengine Chelsea tumepoteza pts 6 Man U 9 kwenye mechi 5 za nyuma hao wengine ndio tusiseme. Tukiongea kwa mahesabu hao wanaume wako wako hoi bin taabani

Wote mmepoteza pointi tisa
 
LEICESTER CITY 2-2 CHELSEA, Premier League: Post-match reaction.

By Mlanzi

Bonge la performance kutoka kwa man of the match Antonio Rüdiger. Rüdiger anakuwa defender wa kwanza kuchana malinda mala mbili kwa upande wetu Chelsea katika Premier League tangia John Terry afanye hivyo dhidi ya Fulham mwezi April mwaka 2013; mabao yote yalikuwa ya kichwa pia.

Juhudi safi kutoka kwa Reece James zinahitaji Striker mzuri, zinahitaji finisher mzuri. Tammy Abraham anaweza lakini ukweli ni kwamba hana msaada pindi team inahitaji matokeo.

Nashindwa kuelewa malengo halisi ya board, nadhani kama Roman Abramovic amechoka kufanya investments ni bora auze hisa zake alafu amchukuwe Marina na Buck aende nao..!! Nini maana ya ku appeal hiyo transfer ban kwa ku spend pesa nyingi alafu unashindwa kufanya usajili!

Anyway, first-half hususani dakika chache za mwanzo Chelsea ilikuwa imeutawala mchezo, team ilikuwa ina creat opportunities kibao ambazo zote ziliota mbawa kutokana kukosa umakini upande wa striker.

Leicester waliamka na kuanza kuwa threat, especially katika counter attack. Chelsea ilianza kupoteza momentum na kuanza kupoteza mipira kizembe katika eneo la midfield makosa yaliyopelekea Vardy kutukosa kosa na kumlazimisha Willy Caballero kufanya save moja ya hatari.

Willy Caballero alikuwa kati kati ya lango letu badala ya Kepa Arrizabalaga ambae amekuwa pazia siku za hivi karibuni.

Chelsea tuliendelea kupoteza chances, kupitia kwa Mason Mount, Tammy Abraham, pamoja na Callum Hudson-Odoi wote wakionyesha poor finishing katika hiyo game.

Baada ya kukosa chances katika first half, burudani ilihamia katika second-half ambapo mnyama mkali Antonio Rüdiger alipofunga bao safi kwa header fupi mpira uliokuwa umepikwa na Mason Mount kutokea kwenye corner dakika ya 46.

Speed ya Leicester City iliongezeka huku wakiyatumia makosa tuliyokuwa tukiyafanya katika defense hari iliyopelekea Barnes kuipatia Leicester City bao la kusawazisha dakika ya 54. Matokeo yakiwa Moja moja, team yetu ilionekana kuwa down huku Leicester City wakitumia mwanya huo kufanya attacks za haraka kitu kilichopelekea Chilwell kuongeza bao la pili katika dakika ya 64.

Chelsea tulipoteza matumaini kabla ya AntonioRüdiger kuipandia tena freekick iliyopigwa na Mason Mount dakika ya 71 na kufanya matokeo kuwa mbili kwa mbili.

Uwanjani kulikuwa na mabadiliko manne yaliyokuwa yamefanywa na Frank Lampard kutoka katika league game, Lampard alikuwa amemuanzisha big Willy Caballero mbele ya Kepa Arrizabalaga huku Pedro Rodriguez akianza mbele ya Willian.

Substitutions zilikuwa Willian upande wa Pedro Rodriguez, Mateo Kovačić upande wa Jorginho. Then Ross Barkley upande wa Tammy Abraham.

Kwa matokeo haya Chelsea tunabakia nafasi ya nne kwa tofauti ya points nane dhidi ya Leicester City walioko nafasi ya tatu. Wanaotutuatia tumewaacha points saba na wote wakiwa na points 34.

Next up team itakwenda katika Winter break kwa muda wa week mbili, then tukirejea tutakuwa na games tatu za nyumbani ndani ya siku nane. Tutaanza na Manchester United, Tottenham, na baadae dhidi ya Bayern Munich.

KTBFFH

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikataa rufaa ya nin,, means waliona pengo la Hazard...

Sasa wamefanya nin na ni zaidi ya miezi mitatu toka tufunguliwe ban yetu.

Walishindwa kufanya ushawishi toka mwanzo kwa wachezaji wanaowataka..


Inaezekana ukasema kumpata mtu kama hazard sokoni ni ndoto,,

Lakin hata joe cole wakati anaondoka chelsea tulijua hatutapata mrithi wa ufundi kama wake..

Uzembe ni wa board + Lampard....


Sent using Jamii Forums mobile app
Unategemea utapata mchezaji mwenye quality kama ya hazard january labda mchezaji awe amegoma
Deal zote kubwa za coutinho,vvd kwenda kwenye hizo team walikuwa washaanza kugoma
Unategemea utampata sancho au mchezaj mwenye uwezo kama wake kwenye dirisha hili jibu ni hapana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa Kepa leo tungelala
Mentality ya timu leo ilikuwa nzuri
Shot on target 3 mbili zimeingia
Sikujua klwa nini Pedro alicheza nafasi ya Willian
Sikujua pia kwa nini tumecheza bila striker wakati Batsuayi yupo bencji na fit
Batshuay na yeye ni yule yule mpaka apate chance 5 ndio anafunga

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom