Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Narudia tena na tena....Keppa ni goli keeper mbovu kuwahi kutokea Chelsea.... mtu wa kwanza kubadilishwa ni goal keeper wetu... ana tu cost sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwaambia sana humu

Kepa Alikuwa anauzwa £18m ,Madrid wakasita kumchukua ,miez miwili baadae Chelsea akauziwa kwa £72m
 
CHELSEA 2-2 ARSENAL, Premier League: Post-match reaction.

By Mlanzi

Ukweli unauma but £40M ni nyingi sana kwa Kepa Arrizabalaga; Keeper wetu inawezekana ndiye most overpaid duniani kwa sasa.

Alafu huyu kocha wetu, ni lini ataelewa kwamba Marcos Alonso ni bora kuliko Emerson..!!? Sidhani kama Frank Lampard yupo serious na kazi.

Tammy Abraham ni mzuri lakini tunahitaji striker atakaeweza ku- dominate box la wapinzani. Sina hakika kama Tammy Abraham atatuvusha top 4.

Chelsea ilikuwa na kila sababu ya kushinda game hii ukizingatia tumetoka kupoteza game kizembe Juma mosi iliyopita dhidi ya Newcastle. Matokeo yake tumeishia kupoteza opportunities juu ya opportunities hata baada ya Jorginho kutuweka mbele kwa bao safi la penalty plus David Luiz kupigwa umeme dakika za mapema.

Yes! Tuliutawala mchezo but kosa moja kutoka kwa N'golo Kanté alipoteleza lilisababisha Martinelli kutia doa katika shughuli yetu.

Pamoja na subs za hapa na pale, Chelsea tulishindwa kabisa kupata breakthrough mpaka pale Cesar Azpilicueta alipotuweka mbele tena baada ya kufunga bao la pili. Bao lililodumu kwa dakika chache kabla ya Bellerin kusawazisha na kufanya matokeo kuwa 2v2.

Chakushangaza bado kulikuwa na dakika za kutosha kwa Michy Batshuayi-Atunga kutukosesha bao la wazi dakika za mwisho.

Kulikuwa na mabadiliko mawili kutoka katika match ya Juma mosi ambapo Mateo Kovačić alikuwa ameanza mbele ya Mason Mount, na Emerson kuanza upande aliokuwa Reece James. Ross Barkley aliingia kumpumzisha Mateo Kovačić na kufanya mfumo kubadilika na kuwa 4-2-3-1 baada ya Mason Mount pamoja na Michy Batshuayi-Atunga alipoingia upande wa Willian.

Next up: tutawatembelea Hull City katika FA Cup siku ya Juma mosi

KTBFFH

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Odoi karudi kwenye form yake anastahili kuanza kila mechi
Barkley hana touches nyingi za mpira kama Kovacic lakini ni clinical kwenye final third zaidi ya Kovacic
Nilichogundua kwa youngstaers kama Abrahama, Mount ni kwamba wana mazuri na mabaya kwa pamoja, huku anacheza vizuri na upande mwingine wanacheza vibaya hiii ni kwa sababu ya umri wao wanahiotaji muda ili wapate uzoefu
Kepa sio golikipa wa standard ya Chelsea, anafaa kuwa SUB atafutwe golkipa bora zaidi hata Aishi Manula angepangua ile counter attack ya Martineli
Kante na Willian jana walicheza ovyo sana
 
Nakumbusha tu hawa jamaa wa gunner walikuwa pungufu kuanzia 26`
tapatalk_1579665102662.jpeg
 
Mmebebwa kishenzi yani. Mmeshika mipira mara kibao kama mnacheza rede vile.

All in all hata sisi tumecheza usenge. Yaani kuna timu ukicheza nazo ukiona umepigwa kadi nyekundu basi utajuta kuzaliwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu redcard inatosha nadhan mjiulize mmeshindwaje kupata ushind kwa timu iliyo pungufu kwa muda wote ule
 
Ukisema Lampard anagembelea Nyota ya Sarri sidhani kama ni sawa. Kama Sarri asingekuwa na Hazard hali ingekuwa tete sana.

Kipindi cha Sarri chelsea ilikuwa inapiga pasi nyingi ila zilikuwa ni back pass. Yaani ilikuwa mnaweza mkapiga pass nyingi Ila kufika golini mtihani. Sasa hivi hata golini tunafika ila kufunga ndio majanga.
We have a poor mentality ever..

Hawa boys sio wakuwategemea kabisa kutupa matokea. Mtu kama batshuayu anakosa goli kwenye clear chance matokeo yakiwa 2-2 alafu unacheka.. Mtu kama huyu sioni kama ana umuhimu wa kwenye hii timu..

Poa barkley ni average team player kwa kweli,, sio lampard anatushika masikio kua anauwezo wa kante..

Left wing anahitajika,, its better to die trying na sio kukaa tuu.. Naona kwa upande wa kushoto wamchukue hata zaha tu atatusaidia ...

Tammy & kepa wanahitaji watu wa kuwapa competition , vinginevyo naona kabisa kila siku uwezo wao unazidi kupungua..
Spirit of fighting imepungua sana kwa sababu they are untouchable

Lampard nae kwa upande wangu naona ni kama anatembelea nyota ya sari tu,, kuanzia mfumo hadi position za wachezaji.
Sema Sarri ali"enjoy uwepo wa hazard..
Ila mbinu ni ile ile ,,kila siku atatudanganya mashabiki kua they have to shoot(outside the box), lakini kimsingi mazoea hujenga tabia..
Naamini mazoezi wanayoyafanya nfo result ya tunachokiona kwenye mechi..


Tunatakiwa ku"improve kwenye set pieces na pia long shoot range,, vinginevyo kila siku tutabaki kujisifia tu tumecheza vizuri ila matokea hamna..

N.b hawa ma"legend Mung anawaona

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom