Mkuu ngapi ngapi hapo darajani mpaka sasa?
milango bado haijafunguka
Mkuu ngapi ngapi hapo darajani mpaka sasa?
mkuu ngapi ngapi hapo darajani mpaka sasa?
stuuudge, nooooooooo, mamaaaaaaaaaaa, nooooooooooo yalaaaaaaaaaaaaa, noooooooStuuuuudge, nooo, Mataaaa, no!!!! Wolves keeper with double save, fantastic!
old farts:nerd:Pensioners........
Dah leo naona kidogo mtajenga daraja maana king kenny analalamika uchovu kwa wachezaji wake nahisi atapanga magarasa.
Daraja letu linazidi kudidimia kadri siku zinavyoenda duh.Sasa kama waliopangwa jana magarasa angepanga mizungu ingekuwaje?
Ndio mpira, tuanze kujiandaa na msimu ujao.:embarassed2::shock::A S embarassed::smash: Tunatia aibu mwaka huu!
So far ni HT,
New Castle 0 - 1 Chelsea
Goli la Chelsea limefungwa na Drogba, dakika ya 36.
Penalti ya Chelsea iliyopigwa na Lampard imepanguliwa na kipa wa New Castle
Mkuu BAK,
Nashukuru, naona mechi yetu watu waliipotezea tu, lakini leo ndo tunacheza na timu ya JK hahahaha