Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
:lol:Watu hoi stamford bridge! Peasant, this is not pleasant bro!
Peasant ndio anaelekea nyumbani , atafika tu hapa msiwe na wasi wasi.
Walianza kina Invisible na Maxence akaja AB Tchaz,Mvina,Sanda Matuta wakafuatia Wachungaji Masanilo na Kishoka akabaki Mkulima(Peasant) peke yake naona na yeye uzalendo umemshinda
Hahahaha!! Ahsanteni sana wakuu, nipo kama kawaida lakini nilikuwa mbali kidogo.