Kwahiyo Marcelo ndio hana pumzi,stamina na concentration!!!!!!Huyu dogo mkuu ni tofauti na bisaka kuanzia kwenye ball control ,dribling ,patterns management etc unaweza cheza one two na Reece mpaka goli la mpinzani hauwezi kufanya hivyo na bisaka ,reece anaweza kukatisha kwenye watu watatu beki kama bisaka hawezi ,reece anachokosa ni pumzi na stamina +concetration .Kwa upande wangu namuona Marcelo wa upande wa kulia kupitia Reece unless injuries na uingeleza umuharibu ,pata muda umfuatilie huyu dogo utabadili mtazamo.
Movement ya kule mbele wakati hawana mpira kutengeneza boxes za kutupiwa mpira ndiko kutengeneza nafasi, washambuliaji wasipokuwa na hizo movement hata mabeki wawe wazureiu kiasi gani mipira itakuwa ikipotea tu. Beki hawezi kwenda mbele kutengeneza nafasi unless kwenye rare cases hasa timu pinzani inapokuwa inapaki sana mabasi kwa kulemewaBinafsi navyoelewa Washambuliaji kazi yao ni kufunga, kazi ambayo washambuliaji wanatakiwa wafanye ni kuwasoma mabeki wa timu pinzani, kutumia nafasi ya makosa ya mabeki kufunga magoal, na zaidi kusoma movement za wachezaji wenzake ili ajiposition mahali ambapo mpira ukija basi anakuwa na chance kubwa ya kufunga.
Au unamaanisha mfano Morata au Giroud ni wazuri kufunga magoli ya vichwa ni kitu ambacho wamejitengezea. Kwahiyo wanapokuwa uwanjani watengeneze nafasi ya wachezaji wengine kuleta mipira ya kichwa, yaani wachezaji wengine wamsome mshambuliaji anataka nini?
Nadhani hii ya mshambuliaji kutengeneza nafasi yeye kufunga anatakiwa awe na uwezo mkubwa sana. Kwamba mfano anaupata mpira anatoa pass halafu yeye anakimbia mbele kuomba pasi, kupiga chenga moja mbili na kufunga.
Mastriker wa style hii nadhani kwa sasa ni wachache sana ndio maana mpira umebadilika, wanatengenezewa nafasi wao kusukumia tuu ndani.
Bado King kazi ya kutengeneza nafasi at least kwenye initial stage za hizo movement ni washambuliaji kwa maana ya winga, strikers na hao attacking MF. Beki hawezi kuach space huko nyuma ili aenda kutengeza boxes za kupasiwa mpiraMpira wa kutegemea watu Fulani watengeneze sikuhizi utakula hasara.
Guardiola ingawa alijua wazi kuwa Bissaka amemueka Sterling kwenye Man marking lakini bado alilazimisha Kuwa Sterling atengeneze nafasi, Nadhani ulikiona kilichotokea .
Narudia tena mpira umeshabadilika.
As long as una Fullbacks wazuri wa kushambulia na kutengeneza nafasi ndiyo unapopata matokeo.
Leo mumefuata ushauri wetu wa kumuweka Luiz nje mkapata ushindi, muacheni Luiz astaafu ili asiwafungishe tenaMumerudi kwa kasi ndugu zangu....leo tunaanua 3 wakuu.....hahahaaa
Lille wakijikazakaza kesho nahisi kilio kitaanza upya mimi nafikiri hakuna haja ya kufungua turubai,tuliache kwanza ili kesho ipite...
Kila la kheri chama langu la utotoni Lille
Nadhani kuna haja Emerson arudi kikosini Azpi arudi kwenye namba yake au akae benchi tu. Halafu mi sioni kama Lampard atamuacha nje MountChelsea VS Lile
Predicted lineup:
4-3-3
Pulisic-Abraham-Willian,
Kovacic-Jorginho-Kante,
Azpilicueta-Zouma-Rudiger-James,
Kepa
Tatizo unazungumza kwenye mazingira tofauti Chelsea hawezi kufungwa kwenye mechi muhimu Kama ya Leo ambayo anajua kabisa akimfunga Lille moja kwa moja atakuwa ameshafuzu.Kwani ilibidi utumie akili gani ili kuamini kwamba Chelsea wangechakazwa na Everton mkuu?
This is football.
Katika sentensi yako toa neno 'HAWEZI'Tatizo unazungumza kwenye mazingira tofauti Chelsea hawezi kufungwa kwenye mechi muhimu Kama ya Leo ambayo anajua kabisa akimfunga Lille moja kwa moja atakuwa ameshafuzu.
Mount kwenye hii michuano ya UEFA amekuwa weak na baadhi ya mechi kubwa za EPL, kwa hiyo kumuweka benchi ni uamuzi sahihi labda tu amuweke kwa sababu ya mahabaNadhani kuna haja Emerson arudi kikosini Azpi arudi kwenye namba yake au akae benchi tu. Halafu mi sioni kama Lampard atamuacha nje Mount
Na akifungwa atakuwa amekwenda EUROPA bila kujali matokeo ya Ajax na ValenciaTatizo unazungumza kwenye mazingira tofauti Chelsea hawezi kufungwa kwenye mechi muhimu Kama ya Leo ambayo anajua kabisa akimfunga Lille moja kwa moja atakuwa ameshafuzu.
Mahaba ndio ninacho maanishaMount kwenye hii michuano ya UEFA amekuwa weak na baadhi ya mechi kubwa za EPL, kwa hiyo kumuweka benchi ni uamuzi sahihi labda tu amuweke kwa sababu ya mahaba
Hahaaa nakuona mwana manPalivyotulia humu unaweza hisi EPL haikuepo hii weekend
Tomor na Zouma walikuwa wanaelewanaWinning Team never change Lampard anatuvunjia heshima kutompanga Left back Emerson au Alonso haijalishi wanamapungufu gani wanatusaidia kuliko Azpi kwenye game yoyote ,pia kumpanga Reece Right back badala ya Azp ni kuendelea kutukosea heshima, kumuacha Jorgihno nje na kulazimisha Mount acheze anatafuta kufukuzwa,bila sababu ameharibu combination ta Tomori na zuma walianza kuelewana na chelsea hatuna uvumilivu january ruksa kusajiri ,winning team never change
Nimetaja mapungufu mchezaji mwenye umri under 20 anaweza kuyarekebisha ,remember " the lesser is always in greater "Kwahiyo Marcelo ndio hana pumzi,stamina na concentration!!!!!!
Jiangalie wewe ,osimuoverrate kijana ukaja fikia kumfananisha na marcelo....labda marcelo wa yanga.
Ova.