Huyu dogo mkuu ni tofauti na bisaka kuanzia kwenye ball control ,dribling ,patterns management etc unaweza cheza one two na Reece mpaka goli la mpinzani hauwezi kufanya hivyo na bisaka ,reece anaweza kukatisha kwenye watu watatu beki kama bisaka hawezi ,reece anachokosa ni pumzi na stamina +concetration .Kwa upande wangu namuona Marcelo wa upande wa kulia kupitia Reece unless injuries na uingeleza umuharibu ,pata muda umfuatilie huyu dogo utabadili mtazamo.
Kwahiyo Marcelo ndio hana pumzi,stamina na concentration!!!!!!

Jiangalie wewe ,osimuoverrate kijana ukaja fikia kumfananisha na marcelo....labda marcelo wa yanga.

Ova.
 
Binafsi navyoelewa Washambuliaji kazi yao ni kufunga, kazi ambayo washambuliaji wanatakiwa wafanye ni kuwasoma mabeki wa timu pinzani, kutumia nafasi ya makosa ya mabeki kufunga magoal, na zaidi kusoma movement za wachezaji wenzake ili ajiposition mahali ambapo mpira ukija basi anakuwa na chance kubwa ya kufunga.

Au unamaanisha mfano Morata au Giroud ni wazuri kufunga magoli ya vichwa ni kitu ambacho wamejitengezea. Kwahiyo wanapokuwa uwanjani watengeneze nafasi ya wachezaji wengine kuleta mipira ya kichwa, yaani wachezaji wengine wamsome mshambuliaji anataka nini?

Nadhani hii ya mshambuliaji kutengeneza nafasi yeye kufunga anatakiwa awe na uwezo mkubwa sana. Kwamba mfano anaupata mpira anatoa pass halafu yeye anakimbia mbele kuomba pasi, kupiga chenga moja mbili na kufunga.

Mastriker wa style hii nadhani kwa sasa ni wachache sana ndio maana mpira umebadilika, wanatengenezewa nafasi wao kusukumia tuu ndani.
Movement ya kule mbele wakati hawana mpira kutengeneza boxes za kutupiwa mpira ndiko kutengeneza nafasi, washambuliaji wasipokuwa na hizo movement hata mabeki wawe wazureiu kiasi gani mipira itakuwa ikipotea tu. Beki hawezi kwenda mbele kutengeneza nafasi unless kwenye rare cases hasa timu pinzani inapokuwa inapaki sana mabasi kwa kulemewa
 
Mpira wa kutegemea watu Fulani watengeneze sikuhizi utakula hasara.

Guardiola ingawa alijua wazi kuwa Bissaka amemueka Sterling kwenye Man marking lakini bado alilazimisha Kuwa Sterling atengeneze nafasi, Nadhani ulikiona kilichotokea .

Narudia tena mpira umeshabadilika.

As long as una Fullbacks wazuri wa kushambulia na kutengeneza nafasi ndiyo unapopata matokeo.
Bado King kazi ya kutengeneza nafasi at least kwenye initial stage za hizo movement ni washambuliaji kwa maana ya winga, strikers na hao attacking MF. Beki hawezi kuach space huko nyuma ili aenda kutengeza boxes za kupasiwa mpira
 
Mumerudi kwa kasi ndugu zangu....leo tunaanua 3 wakuu.....hahahaaa

Lille wakijikazakaza kesho nahisi kilio kitaanza upya mimi nafikiri hakuna haja ya kufungua turubai,tuliache kwanza ili kesho ipite...


Kila la kheri chama langu la utotoni Lille
Leo mumefuata ushauri wetu wa kumuweka Luiz nje mkapata ushindi, muacheni Luiz astaafu ili asiwafungishe tena
 
Kwani ilibidi utumie akili gani ili kuamini kwamba Chelsea wangechakazwa na Everton mkuu?

This is football.
Tatizo unazungumza kwenye mazingira tofauti Chelsea hawezi kufungwa kwenye mechi muhimu Kama ya Leo ambayo anajua kabisa akimfunga Lille moja kwa moja atakuwa ameshafuzu.
 
Winning Team never change Lampard anatuvunjia heshima kutompanga Left back Emerson au Alonso haijalishi wanamapungufu gani wanatusaidia kuliko Azpi kwenye game yoyote ,pia kumpanga Reece Right back badala ya Azp ni kuendelea kutukosea heshima, kumuacha Jorgihno nje na kulazimisha Mount acheze anatafuta kufukuzwa,bila sababu ameharibu combination ta Tomori na zuma walianza kuelewana na chelsea hatuna uvumilivu january ruksa kusajiri ,winning team never change
Tomor na Zouma walikuwa wanaelewana
 
Lineup hii hapa. Kila la kheri timu yangu pendwa chelsea
IMG_7791.JPG
 
Chelsea VS Lile
Lineup:
4-3-3
Pulisic-Abraham-Willian,
Kovacic-Jorginho-Kante,
Emerson-Zouma-Rudiger-Azpilicueta,

Kepa
 
Kwahiyo Marcelo ndio hana pumzi,stamina na concentration!!!!!!

Jiangalie wewe ,osimuoverrate kijana ukaja fikia kumfananisha na marcelo....labda marcelo wa yanga.

Ova.
Nimetaja mapungufu mchezaji mwenye umri under 20 anaweza kuyarekebisha ,remember " the lesser is always in greater "
 
153 Reactions
Reply
Back
Top Bottom