Kuna uwezekano mkubwa Odoi akauzwa au Lampard amshauri kwa sababu lately Odoi hana clinical finishing kama akina Pulisic na Mount. Ban ikilegezwa au ikiisha Lampard ataingia sokoni kutafuta replacement yake kwa sababu Lampard ana mean business ila Odoi naona ana safari ndefu kuja kufit kwenye timu kama Chelsea. Hata kwenye dribbling ana a lot of silly mistakes kama vile hayuko serious. Nikimfananisha na Pulisic pamoja na kuwa Odoi ana stamina kuliko Pulisic lakini mwenzake yuko serious na ni very clinical kwenye umaliziaji. Yaani Odoi namfananisha na Zouma kwenye umaliziaji ila mwenzake afadhali yeye ni beki
 
Nimemuangalia huyu dogo sancho youtube naona ana skills za kuchezea mpira. Tofauti yake na odoi ni ipi?
Haaa... unasema Sancho ana utofauti gani na Odoi?

Msimu huu match 9 ana goal 3 na assist 5

Msimu uliopita match 34 alikuwa na goal 12 na assist 14

Hizo ni match za bundesliga tu.

Sasa hebu fikiria Mbele kuna kuwe striker ya kueleweka halafu una wings pulisic na sancho kati una Kante/Savic, Kovacic na Joginho nyumba una Recce James, Tomori, Zouma/Rudiger Chiwell halafu golini una Kepa.

Hicho kikosi lazima timu zilale na viatu kila siku.
 
Timu gani zenye class ya kununua wachezaji kama hao na kama utaweza tutajie vigezo vya kuingia class hizo.

Ahsante

Real Madrid
PSG
Barcelona

Hizo ndiyo Timu Pekee zenye uwezo wa kununua wachezaji zaidi ya £150m

Vigezo ni kuwa Bajeti zao za Manunuzi ni kubwa na hawategemei Sell to buy
 
Whats 130 kwa Abromovich? Bado Tuna 100 ya hazard, 42 Ake, 8 luiz, 35 cotous, 50 Morata

Kwa Abramovic hata £5bn sio kitu lakini kwa Timu £130m ni kitu kikubwa sana.

Tofautisha utajiri wa Abramovic na utajiri wa Timu. Ni two different things.

Na sahau kitu kama hicho cha kusema sijui hela ya Hazard ipo, ya Morata ipo, ya Courtois ipo, ya Ake ipo!
Hakuna kitu kama hicho kwenye biashara.

Kwanini hukumalizia kuwa ya kubeba Europa ipo, Mapato ya TV EPL yapo, Mapato ya TV Uropa yapo, Viingilio vya Uwanjani hela zipo n.k.

CEO atakacho approve kwenye Manunuzi ndiyo hichohicho kitakachotumika haijalishi umemuuza nani na kwa kiasi gani.

Nasema tena Timu zetu za Kiengereza bado kabisa kuingia kwenye Crazy Market ya kununua wachezaji kwa £130m.

Mfano mdogo Barcelona wamemnunua Coutinho kwa £145m na kaishia kuflop wakamtoa kwa Mkopo wakatulia kimya.
Ingelikuwa ni Chelsea waliomnunua au Timu yeyote ile ya Kiengereza nakuhakikishia Wangeliifukiza Bodi nzima ya Usajili.

Kwahiyo Waingereza (Manure) waliogopa kutoa Hela kama hiyo (£130m) then Sancho akaja Kuflop ikawa hasara.

Waingereza bei zao wanacheza kati ya £80m to £100m ingawa hiyo 100m bado hawajaifikia ila hawapo mbali kifikia.
 
Kuna kipindi chelsea ilimtaka neymar na boss alishaweka mezani 220. Conte hakumtaka neymar.

Mkuu tunazungumzia Reality na si tetesi.

Ivi kipindi hichi hujapita mitandaoni ukaona Kuwa Liverpool inamtaka Mbappe kwa £250m???
Unadhani Liverpool wanaweza kutoa hiyo Hela?

Hizo ni tetesi tu.

Kuna wachezaji unaweza kuwanunua kwa Hela ya hata £300m kwa ajili ya Marketing.

Mfano Messi, Neymar na Ronaldo kwasababu ya Kibiashara nje ya Uwanja kwani Ndani ya Siku moja unaweza ingiza £50m kwa mauzo ya Jezi na Utajaza uwanja kwa ajili ya Kumtambulisha tu.

Lakini huna ujanja wa kuuza Jezi ya Sancho hata kwa wale Watu wa pale London tu.

So kibiashara si rahisi kutoa £130m kwa Sancho.

Lakini ukimtangaza Messi kwa £300m basi Hata Man City watajitokeza kumtaka.
 
Real Madrid
PSG
Barcelona

Hizo ndiyo Timu Pekee zenye uwezo wa kununua wachezaji zaidi ya £150m

Vigezo ni kuwa Bajeti zao za Manunuzi ni kubwa na hawategemei Sell to buy
Unasema timu pekee yaan kama vile hiyo ni sheria ilishaandikwa. Subiri tuone itakuwaje hapo
 
Haaa... unasema Sancho ana utofauti gani na Odoi?

Msimu huu match 9 ana goal 3 na assist 5

Msimu uliopita match 34 alikuwa na goal 12 na assist 14

Hizo ni match za bundesliga tu.

Sasa hebu fikiria Mbele kuna kuwe striker ya kueleweka halafu una wings pulisic na sancho kati una Kante/Savic, Kovacic na Joginho nyumba una Recce James, Tomori, Zouma/Rudiger Chiwell halafu golini una Kepa.

Hicho kikosi lazima timu zilale na viatu kila siku.
Mwaka huu kazima, anaweza kuja huku akawa kama Pepe
 
Kitu pekee ambacho Odoi kamzidi Sancho labda ni ile kasi yake. Odoi anatembea sana...
Ndio maana nikasema anahitaji councelling ili makosa yapungue. Akipunguza makossa hayo ya dribbling na umaliziaji wa kufunga Odoi ana stamina na kasi na atafanya kuwa winga hatari
 
153 Reactions
Reply
Back
Top Bottom