Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,200
- 21,535
Hakuna timu inamtaka kwa sababu mchezaji hafanyiwi promotion. Wamlete pale acheze msimu mmoja kama timu haitaridhika naye najua hakuna timu ya PL itashindwa kymsajili. Au hata hao Atalanta wemyewe wanamchukuaUnajua biashara ya wachezaji ni kama ya real estate
Mchezaji anuzwa kama dau lina lipa, kama hailipi atatolewa mkopo hadi dau lilete faida. Hiyo ndio business ya wachezaji na Chelsea wanapata faida kwenye hii business na ndio maana inaongoza kwa wachezaji wa mkopo. Ukifuatilia huyo Pasalic hakuna timu iliyowahi kutoa dau la maana
Ongeeni yote ila naomba mjitahidi walau droo kwa Man City game ijayo.
Kama Wolves alishinda Etihad ninyi mnshindwa vipi?
Hahaa.. Mkuu tunaenda kupambana kuhakikisha tunapata kilichotupeleka. Hatuwezi kwemda na mentality ya kwenda pale kupoteza game ile aibu waliyotutia pale kwao ndio itakua motivation kuu.
But mind you that £100k - £1k will remain £99k. Haibaki £100 tena!Ni adhabu ndogo sana ukilinganisha na mishahara yao. Sasa mtu unalipwa £100k kwa week unashindwaje kutoa faini ya £1000
Haya ni majungu waziwaziSafi sana, msimu ulioisha mliwafunga na wao wakawafunga.
Mwanzo nilijua nyie ni nguvu ya soda, ila mpaka sasa naona kabisa mlivyo serious.
Haya ni majungu waziwazi
Akina flo... Jimmy Floyd... Noma Sana Chelsea ile
Bernado silver amepigwa ban ya match moja kutoka na ile tweet yake kuhusu Mendy. Mzigo unazidi kupungua kuelekea match ya chelsea. Hapo na de bruyne naye akipata pancha biashara lazima iwakate.
Ila de bruyne bhana misimu iliyopita alikuwa anakula sana pancha ila akiridi bado wa moto. Naona saivi ameamua kuzihamishia pancha zake kwa kante.
Silva is a key man for City, so losing him is a huge blow to their chances against Frank Lampard’s side this weekend.Bernado silver amepigwa ban ya match moja kutoka na ile tweet yake kuhusu Mendy. Mzigo unazidi kupungua kuelekea match ya chelsea. Hapo na de bruyne naye akipata pancha biashara lazima iwakate.
Ila de bruyne bhana misimu iliyopita alikuwa anakula sana pancha ila akiridi bado wa moto. Naona saivi ameamua kuzihamishia pancha zake kwa kante.
-Jadon Sancho; source: IndependentRonaldinho was the main guy I used to watch on YouTube. But I liked Frank Lampard quite a lot and Didier Drogba when they were playing for Chelsea. They were the three players I looked up to.
Tombe majeruhi yasiwepo kwenye hii international break
Belgium: Michy Batshuayi
Croatia: Mateo Kovacic and Mario Pasalic
Denmark: Andreas Christensen
England: Mason Mount, Fikayo Tomori, Tammy Abraham and Callum Hudson-Odoi:
France: N’Golo Kante, Olivier Giroud and Kurt Zouma
Italy: Jorginho and Emerson Palmieri
Spain: Kepa Arrizabalaga
Brazil: Willian
Game za France zinamfanya kante anaumia sana anapaswa auzwe huyu akamalizie Madrid amfundishe casemiro holding midfielder anavyocheza kwa roho mbaya,Kahamishia kwa Kante sio? Halafu ni Mkweli Kante kawa Mhudhuriaji mzuri kwa Wodi ya Wagonjwa. Lakini anachonikera kwa game v/s Liverpool lazima anapona.
KDB ni kama Messi hata apate injury hashuki kiwango
SawaMkuu majungu kwa Chelsea?
Unakumbuka walianza kwa kufungwa na Man Utd, baada ya hapo leo ni wa tatu na wana uhakika wa top 4.
Ninyi mtacheza Yuropa tena.
Sawa
Haahahahaha Muhindi mizinguo.....Nimekuona umejishikiza kwa Leicester City kwa muda.
Haahahahaha Muhindi mizinguo.....