Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 7,004
- 9,263
Kipofu kaona mwezi
Na wewe kauone
Kipofu kaona mwezi
Apige hat trick? Hahaha hebu mwambie Kepa adake basi la pili hiliInatakiwa Pepe na yeye apige hat trick kama Lee Caputeinn ..maana naona tumepigwa pale...
aisee tayari 2 tumepigwaMuhimu tupate Clean sheet tu....
Hahaha yaani umemaliza tu kuandika na kupost kua unatamani clean sheets kamba mbili zishaingia.Muhimu tupate Clean sheet tu....
3Pepe ana goli ngap mpka sasa..
Tutapatia kwa arsenal ...muhimu ushindi mzee[emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha yaani umemaliza tu kuandika na kupost kua unatamani clean sheets kamba mbili zishaingia.
Yaani nyinyi clean sheet ni kama bikra ikutwe Kimboka.
Piga mbuzi hao
EPL au All competition?
Hatunaga Kipaa
Huyu hanaga hata save moja
Lampard atajilaumu sana kuwatoa akina Willian maana baada ya hapo Chelsea ilipoteza uelekeo kabisa kutengeneza nafasi na kupoteza mipira hovyo katinajua kwa sasa wale wapinzani wetu watakomalia Clean sheet na walisemaga wanatupa game 10, tutakuwa nafasi 15
Wamepata pa kutokea..najua kwa sasa wale wapinzani wetu watakomalia Clean sheet na walisemaga wanatupa game 10, tutakuwa nafasi 15
Tatizo ni Kepa huyu jamaa hata dunia inatushangaa. Bora tungechukua kipa wa Derby
Hahahah nyie najua mtamaliza namba 6Wamepata pa kutokea..