


Pulisic akiendelea hivi ni Zaidi ya Hazard, anamentality ya kufunga na kuasists tu, mbele kwa mbele
4 bilaJamani porini mechi ngapi ngapi huko?
Hahahaha tulia tuliaaaaaaaa
Je Humuogopi Leo Caputeinnnn
Pigs mbuzi nao Burnley.....hahahahaahhaha maisha ni matamu sanaaaaaaaaaa
Pepe ana goli ngap mpka sasa..Kipofu kaona mwezi
Inatakiwa Pepe na yeye apige hat trick kama Lee Caputeinn ..maana naona tumepigwa pale...Bira VAR imekuja kwahiyo nyie maandazi ingekua enzi hizo ile ndo ishakua penati?
Hahahah na andazi lenu limetolewa.
Hahahaha tulia tuliaaaaaaaa
Je Humuogopi Leo Caputeinnnn
Pigs mbuzi nao Burnley.....hahahahaahhaha maisha ni matamu sanaaaaaaaaaa