Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
Jason la kuku yupo kule kwenye Jukwaa la Dini/Imani amekimbilia huko.Hivi ni kweli?
Hii Liverpool leo watashangaa sana maana wanamtegemea Mane tu kwa sasa...Ollachuga Oc mzee wa kila la kheri
Kesho upo na kina salah je utatoboa ? Na kepa anashindana kuzuia cleansheet na Tibaut cortous
Acha kelele cheki leo kuku ananyolewa na mkasi..coming soon.........hahahhahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hahahah mane analalamika kila game yumo...ww jamaa muongoHii Liverpool leo watashangaa sana maana wanamtegemea Mane tu kwa sasa...
Leo wakipambana sana ni draw tena mane awe vizuri kweli kweli maana keshaanza kulalamika hapumziki kila gemu yumo...
Kila la kheri Chelsea
Wale hawana kocha kama Arsenal , hata kama messi hayupo , ile timu INA mastaa wengi lkn inapigwa ,inacheza ovyoConfirmed, Barcelona bila ya Messi ni sawa na Arsenal
Namkubali sana Antonio Conte , ni kocha mwenye Tactic sana, anabaki moja ya makocha walioleta revolution EPL alikuja na 3-4-3 na 3-5-2 ,mifumo ambayo EPL ilikuwa haitumiki, Leo timu kibao EPL zinatumia hiyo mifumo.,Conte alikuwa kocha sahihi sana wa Chelsea ..ila michezaji kama luiz, hazard ikamletea shobo mpaka boss akatimuliwa. Japo bado tuna amini kwa lampard ila conte ni kocha wa uhakika wa kukupa kombe kila msimu..
Ana uwezo wa kupanga kisifunge magoli mengi na kisicheze mpira mzuri lakini baada ya Dakika tisini kinaondoka na ushindi..
Msimu wake wa mwisho darajani tulifungwa goli chache sana na clean sheet zilikuwa nying sana.
Kila la kheri Conte...
Kila la kheri Chelsea
Leo nna uhakika Liverpool anakuja kutafuta draw pale darajani..Hahahah mane analalamika kila game yumo...ww jamaa muongo
Unasema kweli? Yule Jamaa huwa analetaga updated news nzuri sana za mpira, Jasho la kukuuuuuu...???Jason la kuku yupo kule kwenye Jukwaa la Dini/Imani amekimbilia huko.
Acha kuleta siasa kwenye mpira halisi, kuna wachezaji katika timu yoyote si rahisi kuwatoa hata uwe na mbinu kiasi gani au pesa za uhakika, labda mchezaji mwenyewe ndiye aamue.Naona Kama Humjui Perez wewe!
Kamuulize Mino Raiola ujanja wake wote kuwakaanga Man U tokea enzi za Fagi basi kakwama kwa Perez.
Perez akimkazia Kante basi moja kwa moja kwanza anatinga kwa Wazazi (Baba & Mama)
Akimaliza hapo anatinga kwa Mke/Girl Friend
Akimaliza hapo anatinga kwa Ndugu na Majamaa
Akimalizi hapo anakuja kwa marafiki wako wote
Akishamalizana na Hao anatinga kwako Mchezaji mwenyewe moja kwa moja.
Hapo unaanza kusikia Tafrani kutoka kwa wazazi, Ndugu, Jamaa na Marafiki kukishawishi kwa kila aina ya sifa uende Spain,
Then Media kila dakika upo Front page zinakuzungumzia kuhama.
At the sametime Wife/Girl fried anakuandama kila dakika "Baby I'm tired to Live at London" "Huu mji haunivutii hata" Let's go Madrid baby! Its a historic City"...
Siku ya pili asubuhi maneno muliyozungumza chumbani unayakuta kwenye Magazeti.
Baada ya Msimu mmoja Perez anakunasa kiulaini.
Na apigwe sana na sana tu, pumbavu zake na dharau zakeHazard simlaumu kabisa kwa sababu at least yeye aliondoka kistaarabu ninaye muona nyoka ni Courtois kwa kuidharau timu halafu anashiriki kumshawishi Hazard waunganishe nguvu ili wamvute Kante Madrid. Jeuri imemponza sasa ivi hakuna anachofanya wanapiga migoli kama kipa wa U20.
Hahahahahahahahah JASHO LA KUKU yupo kule jukwaa la Dini/ Imani utamppata tuUnasema kweli? Yule Jamaa huwa analetaga updated news nzuri sana za mpira, Jasho la kukuuuuuu...???
Lampard anazingua
Hahahaha wewe utalazwa na viatu ngoja tuone leo ukipona umefungwa 2Hii Liverpool leo watashangaa sana maana wanamtegemea Mane tu kwa sasa...
Leo wakipambana sana ni draw tena mane awe vizuri kweli kweli maana keshaanza kulalamika hapumziki kila gemu yumo...
Kila la kheri Chelsea
Acha kuleta siasa kwenye mpira halisi, kuna wachezaji katika timu yoyote si rahisi kuwatoa hata uwe na mbinu kiasi gani au pesa za uhakika, labda mchezaji mwenyewe ndiye aamue.
Ng'olo Kante kusajiliwa na timu nyingine ni yeye mwenyewe tu, ni sawa na kusajiliwa Messi toka Barcelona kwenda klabu nyingine haiwezekani kamwe labda aamue mwenyewe tu ila si kwa mbinu au pesa.
Kwani Mchezaji gani aliyewahi kusajiliwa kwenye Timu kwa Lazima?
Hata hawa Ronaldo, Courtosie, Hazard, Mata, Matic, Coutinho, Emre Can, Herrera, Ramsey, Mignolet, Griezman, Frank De Jong, Pepe, Pulisic, Lukaku n.k. si waliondoka wenyewe kwenye Timu zao?
Au walilazimishwa na Timu zilizowanunua kuwa waondoke bila ya ridhaa zao? Kwanini hawakukata Rufaa ya kusajiliwa kwa Lazima?
Mbona sajili zote Duniani wachezaji wanaondoka kwenye Timu kwa hiari yao? Au kuna sehemu nilisema Kante atalazimishwa na Real kwamba Lazima asajili kwenye Timu ya Real?
Yani ungelikaa kimya ungelificha mengi tusiyoyajua kuhusu wewe
Huyo bwana hata sijui ameandika nini hadi sasa. Au anataka kutuaminisha Kante hawezi kuiacha Chelsea milele? πππ |
Na Mane ana bifu na Salah, sijui kama wamemaliuzana au bado wanabifiana!Hii Liverpool leo watashangaa sana maana wanamtegemea Mane tu kwa sasa...
Leo wakipambana sana ni draw tena mane awe vizuri kweli kweli maana keshaanza kulalamika hapumziki kila gemu yumo...
Kila la kheri Chelsea
Ngolo kante kuondoka Chelsea labda timu ifutwr isiwepo ..ila ni rahisi sana Mane kuondoka kama Madrid wakifika dau..Kwani Mchezaji gani aliyewahi kusajiliwa kwenye Timu kwa Lazima?
Hata hawa Ronaldo, Courtosie, Hazard, Mata, Matic, Coutinho, Emre Can, Herrera, Ramsey, Mignolet, Griezman, Frank De Jong, Pepe, Pulisic, Lukaku n.k. si waliondoka wenyewe kwenye Timu zao?
Au walilazimishwa na Timu zilizowanunua kuwa waondoke bila ya ridhaa zao? Kwanini hawakukata Rufaa ya kusajiliwa kwa Lazima?
Mbona sajili zote Duniani wachezaji wanaondoka kwenye Timu kwa hiari yao? Au kuna sehemu nilisema Kante atalazimishwa na Real kwamba Lazima asajili kwenye Timu ya Real?
Yani ungelikaa kimya ungelificha mengi tusiyoyajua kuhusu wewe