Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Manchester City haijawahi kuwa na Washabiki wa kujaza uwanja wao wa Nyumbani waje wawe na mashabiki wa kuizidi Liverpool?
Kuna vitu vinachekesha sana,Mtu anakuja na data za ajabu Manchester city ana mashabiki wengi kuliko Liverpool, Kuna pre season moja City alienda Australia wakawaambia mashabiki waingie Bure uwanjani na bado uwanja hata robo haukujaa ,Leo anatokea mtu na twakimu zake za TWAWEZA anasema City ana mashabiki wengi kuliko Liverpool.
 
Kuna vitu vinachekesha sana,Mtu anakuja na data za ajabu Manchester city ana mashabiki wengi kuliko Liverpool, Kuna pre season moja City alienda Australia wakawaambia mashabiki waingie Bure uwanjani na bado uwanja hata robo haukujaa ,Leo anatokea mtu na twakimu zake za TWAWEZA anasema City ana mashabiki wengi kuliko Liverpool.

Kuna Source moja sijui wameiokota wapi inaitwa Zeelo (Sifruri) ndiyo wanayojifariji

Chelsea baada ya Kuanzishwa 2005 ikadandiwa na washabiki wa Sekondari pamona na wale wa Manure na Arsenal waliokata tamaa leohii wanajifanya eti wana Fanbase yakuishinda Liverpool na Arsenal
 
Na hapa katafuta kila source ya kumsapoti imekosa lazima apotee

Mimi sio muamini wa kila ninachokiona mitandaoni kama nyinyi

Nyinyi mukiona chochote mitandaoni iwapo tu kinasupport Chelsea basi munakichukua na kukiamini even from unknown source.

Kwahiyo hakuna source yoyote inayoweza kuthibitisha wingi au uhaba wa Mashabiki kwasababu Hakuna registration yoyote inayofanywa ili uwe mshabiki that's why hakuna timu inayojua idadi ya washabiki wake.

Kwahiyo hizo figure mulizojiwekea ni nonsense tu
 
Since hii miaka 10 ambayo Chelsea imezaliwa mmetengeneza vi plastic fans vya uongo na ukweli kutoka Arsenal, United na Liverpool,timu ambayo fans base yake pale England imezidiwa na Leeds united iliyopo Championship Leo mnatuambia Chelsea ina fans base wengi kuliko Liverpool.
 
The juniors overtaking the so called seniors, its a shock to them because they didn't expect. Huo ni ukweli wasiopenda kuujua na kuusikia.
Ukweli gani??? Timu imekuja kwenye Existence ya 2004 mnataka kulazimisha vitu visivyowezekana Fanya research ndogo tu ya kutumia macho na akili Chelsea imeshazunguka Assia,America ,Europe Attendance ya Fans uwanjani zinakuaminisha una fans wengi kuliko Liverpool.
 
Mimi sio muamini wa kila ninachokiona mitandaoni kama nyinyi

Nyinyi mukiona chochote mitandaoni iwapo tu kinasupport Chelsea basi munakichukua na kukiamini even from unknown source.

Kwahiyo hakuna source yoyote inayoweza kuthibitisha wingi au uhaba wa Mashabiki kwasababu Hakuna registration yoyote inayofanywa ili uwe mshabiki that's why hakuna timu inayojua idadi ya washabiki wake.

Kwahiyo hizo figure mulizojiwekea ni nonsense tu
Kiashiria pekee cha kujua pimajoto ya mashabiki duniani ni social media, Ktk nchi husika mfanop fans wa club England unaweza kujua kwa ticket zinazonunuliwa angalau estimated number of funs

Sasa wewe ukisema huamini taarifa za mitandao, Chukua akaunti za hizo club angalau FB, Twitter na Instagram halafu jumlisha mwenyewe. Hii ndio njia rahisi na wala sio ngumu, easy
Chukua Man u
Liver
Arsenal
Chelsea
Mancity nk hesabu followers wao
 
LIVEPOOL mashabiki wenu wengi walikuwa ni wazee na wengi wamefariki.

Vijana walishindwa kushabikia club ambayo ina miaka zaidi ya 20 haijabeba EPL

Thus why MAN U, CHELSEA NA ARSENAL zina shabiki wengi vijana kuliko LIVERPOOL ambao wengi marehemu.

Chelsea haina mashabiki Vijana wacha kudanganya. Mashabiki wa Chelsea ni Watoto! Timu imeanzishwa 2004 ikapata Mashabiki 2005, Sasa Shabiki wa 2005 ni Mtoto huyo sio kijana.

Wakati Liverpool inabeba Uropa, FA na Carabao 2001 na rasmi Manure wakaanzisha Msemo wa "Mickey Mouse Cup" kuwa maarufu hapakuwa na Mshabiki wa Chelsea hata mmoja ndani ya Bongo (Bongo ni sehemu ya Afrika) bali tuliendelea kuchekwa na Washabiki wa Manure na Arsenal kuwa tumebeba 'Mickey Mouse Cup'...

Nyinyi niliwaona kuanza kuibuka Bongo 2005 na Duniani kwa ujumla kama Watoto wanaoanza sasa kupenda soka la uengereza na mukamkuta Mourinho mukaona ni Bonge la timu kumbe ni Kigenge kilichokutia hela za Mrusi tu.
 
Mimi sio muamini wa kila ninachokiona mitandaoni kama nyinyi

Nyinyi mukiona chochote mitandaoni iwapo tu kinasupport Chelsea basi munakichukua na kukiamini even from unknown source.

Kwahiyo hakuna source yoyote inayoweza kuthibitisha wingi au uhaba wa Mashabiki kwasababu Hakuna registration yoyote inayofanywa ili uwe mshabiki that's why hakuna timu inayojua idadi ya washabiki wake.

Kwahiyo hizo figure mulizojiwekea ni nonsense tu
Siyo kila kitu Chelsea tunakiamini. Na uzuri ni kwamba watu hatujuani. So hatujuani career, analytical skills, experience nk. Kwa hiyo your conclusion that Chelsea fans takes everything from www and believe it, is a poor notion. We have a lot here who can recognise the domain names easily and make the exploration on which location and source the DNS is, we don't rely on mere talks.
Besides, a professional way of posing an argument and letting your argument sound is by supporting it with data, otherwise it's just noise. So I advice you to deal with statistical arguments professionally. That will set you apart from the group which you claim to believe in everything from the net.
 
Deal with statistical arguments logically and not emottionally.
Since hii miaka 10 ambayo Chelsea imezaliwa mmetengeneza vi plastic fans vya uongo na ukweli kutoka Arsenal, United na Liverpool,timu ambayo fans base yake pale England imezidiwa na Leeds united iliyopo Championship Leo mnatuambia Chelsea ina fans base wengi kuliko Liverpool.
 
Kuna mambo ukiyaongea unaonekana mpumbavu na mtu asiyejua historia ya nchi hii.
Kwanza kabla ya yote wewe ni mtoto mdogo pia aliyemaliza diploma ya afya juzi juzi hapa. Kwa hiyo huwezi kuwaita wanajukwaa wote hapa kuwa ni watoto.

Miaka ya 2000 mwanzoni ndipo watu kidogo angalau walianza kumiliki TV kabla ya hapo TV ilikuwa na mtu mmoja mmoja. Na hata miaka ya 80s na early 90s TV zilikuwa za wachache sana. Kwa hiyo watu wengi hawakuwa wikishabikia mpira wa Ulaya, maana walikuwa hawauoni. Watu walipoanza kumiliki TV kwenye late 90s na early 2000 ndipo watu wakaanza kufuatilia mpira wa Ulaya. Mbaba wa watu ananunua TV mwaka 2003 anafurahia mpira wa Chelsea anaanza kuusuport. Kwa hiyo usijidanganye kuwa kila Shabiki wa Chelsea ni mtoto. Sisi tumekua mashuleni hakuna talk za mpira wa Ulaya, sasa hivi ndo zimepamba moto.

Kila maeneo niliyokaa, majiji, manispaa kwa miji. Utakuta Shabiki wa Chelsea ni 5 wa man U 7alafu 1 ndo Liverpool. Na hii ni kwa hapa Tanzania ambako hatujawahi kuwa na mchezaji wa kuichezea Liver, Man U au Chelsea. Sasa assume hali ilivyo magharibi ambako Drogba, Essien, Ettoo na influential player wengine wametoka na wameucheza kwenye vilabu tajwa hapo juu.
Chelsea haina mashabiki Vijana wacha kudanganya. Mashabiki wa Chelsea ni Watoto! Timu imeanzishwa 2004 ikapata Mashabiki 2005, Sasa Shabiki wa 2005 ni Mtoto huyo sio kijana.

Wakati Liverpool inabeba Uropa, FA na Carabao 2001 na rasmi Manure wakaanzisha Msemo wa "Mickey Mouse Cup" kuwa maarufu hapakuwa na Mshabiki wa Chelsea hata mmoja ndani ya Bongo (Bongo ni sehemu ya Afrika) bali tuliendelea kuchekwa na Washabiki wa Manure na Arsenal kuwa tumebeba 'Mickey Mouse Cup'...

Nyinyi niliwaona kuanza kuibuka Bongo 2005 na Duniani kwa ujumla kama Watoto wanaoanza sasa kupenda soka la uengereza na mukamkuta Mourinho mukaona ni Bonge la timu kumbe ni Kigenge kilichokutia hela za Mrusi tu.
 
Kuna mambo ukiyaongea unaonekana mpumbavu na mtu asiyejua historia ya nchi hii.
Kwanza kabla ya yote wewe ni mtoto mdogo pia aliyemaliza diploma ya afya juzi juzi hapa. Kwa hiyo huwezi kuwaita wanajukwaa wote hapa kuwa ni watoto.

Miaka ya 2000 mwanzoni ndipo watu kidogo angalau walianza kumiliki TV kabla ya hapo TV ilikuwa na mtu mmoja mmoja. Na hata miaka ya 80s na early 90s TV zilikuwa za wachache sana. Kwa hiyo watu wengi hawakuwa wikishabikia mpira wa Ulaya, maana walikuwa hawauoni. Watu walipoanza kumiliki TV kwenye late 90s na early 2000 ndipo watu wakaanza kufuatilia mpira wa Ulaya. Mbaba wa watu ananunua TV mwaka 2003 anafurahia mpira wa Chelsea anaanza kuusuport. Kwa hiyo usijidanganye kuwa kila Shabiki wa Chelsea ni mtoto. Sisi tumekua mashuleni hakuna talk za mpira wa Ulaya, sasa hivi ndo zimepamba moto.

Kila maeneo niliyokaa, majiji, manispaa kwa miji. Utakuta Shabiki wa Chelsea ni 5 wa man U 7alafu 1 ndo Liverpool. Na hii ni kwa hapa Tanzania ambako hatujawahi kuwa na mchezaji wa kuichezea Liver, Man U au Chelsea. Sasa assume hali ilivyo magharibi ambako Drogba, Essien, Ettoo na influential player wengine wametoka na wameucheza kwenye vilabu tajwa hapo juu.
Hahahahahahahahah Fanbase mnaitowapi nyie mfano nchi kama Nigeria Chelsea ilikuwa na wachezaji wa nchi hiyo kama Obi ,Moses still bado Fanbase ya Chelsea Nigeria haipo,Sasa kama hiyo pamoja na kuwa na players wao lakini bado fan hampati vipi nchi kama Turkey ,Switzerland, Ukraine ,Bulgaria, Denmark, Sweden mtakuwa na Fanbase kweli??
 
Hahahahahahahahah Fanbase mnaitowapi nyie mfano nchi kama Nigeria Chelsea ilikuwa na wachezaji wa nchi hiyo kama Obi ,Moses still bado Fanbase ya Chelsea Nigeria haipo,Sasa kama hiyo pamoja na kuwa na players wao lakini bado fan hampati vipi nchi kama Turkey ,Switzerland, Ukraine ,Bulgaria, Denmark, Sweden mtakuwa na Fanbase kweli??
siyo Nigeria tu! kwa taarifa yako ni kwamba hakuna timu inaizidi fanbase Chelsea kwa Africa Magharibi.
West Africa is for Chelsea,
East Africa for Arsenal,
alafu South for Man U. Hakuna cha Liverpool wala nini hapo.

Isome hiyo kutoka kwa waingereza wenyewe, BBC.
 
Ukweli gani??? Timu imekuja kwenye Existence ya 2004 mnataka kulazimisha vitu visivyowezekana Fanya research ndogo tu ya kutumia macho na akili Chelsea imeshazunguka Assia,America ,Europe Attendance ya Fans uwanjani zinakuaminisha una fans wengi kuliko Liverpool.
Acha porojo leta takwimu zinazosema hayo unayoandika. Unapanic vitu vidogo mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom