lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,705
- 25,949
Kura bado haijapigwa, hizo nilizomention ni criteria tu za kupanga timu kwenye potsHapo Group B litakuwa na:
Chelsea
Atletico Madrid
Intermilan
RB Leipzig
Kura bado haijapigwa, hizo nilizomention ni criteria tu za kupanga timu kwenye potsHapo Group B litakuwa na:
Chelsea
Atletico Madrid
Intermilan
RB Leipzig
Wataafikiana tu bado muda wa usajili ndio kwanza asubuhi,Asee hazard wamuachie tu kama wamefika 120 ni mchezaji gani aliyebakisha mwaka akauzwa 120 pia mwakani atakuwa na 29,wakigoma watafanya mchezaji acheze chini ya kiwango kwa makisudi bila sababu ,aliyotufanyia dogo yanatosha
Nilijua tu utashangilia kwa sababu Hazard sio tu kawafunga ila kawafanyia mbaya tangu aje Chelsea, nyie na wenzako wa Arsenal na Man u mtafanya sherehe naonaKudadeki!! Madrid to announce 'most important signing in years'
Ronaldo Velverde na Countinho
But Brazilian Ronaldo says putting the blame on those two and then praising Messi when they win shows a ’tremendous lack of respect.’
"Barcelona have a great team, and they have the best player in the world in Messi," Ronaldo said.
"The other day I heard that when they lose, it's because of Valverde, Coutinho... but not Messi. And when they win, Barcelona win because of Messi"
"It's a tremendous lack of respect to all the players and the coaching staff."
Sarri anataka mwenyewe kuondoka sio club inataka kumfukuza
Wacha unafiki wewe[emoji23][emoji23][emoji23] Unajua kabisa hatusajili afu unaulizia tetesi..Wakuu mbona sioni Tetesi za kusajili humu? Au hamutaki wachezaji?
OyooooooOdoi kuweka saini makataba wa miaka mitano na Chelsea
Sasa itakuwaje kama Hazard munyewe anataka kuondoka. Inaonesha clab haitaki kumuacha lakin itakuwa mbaya zaidi maana Mkataba aongezi na kabakiza mwaka mmoja tu..Uhamisho wa Hazard bado ni kizungumkuti baada ya mazungumzo kati ya Chelsea na Real Madrid kuvunjika bila makubaliano hapo juzi, jumatatu
Sasa itakuwaje kama Hazard munyewe anataka kuondoka. Inaonesha clab haitaki kumuacha lakin itakuwa mbaya zaidi maana Mkataba aongezi na kabakiza mwaka mmoja tu..Uhamisho wa Hazard bado ni kizungumkuti baada ya mazungumzo kati ya Chelsea na Real Madrid kuvunjika bila makubaliano hapo juzi, jumatatu
Mashabiki wataoshukuru Hazard kuhamia La liga kwa sababu ya timu zao kufanyiwa mbaya na Hazard ni hawa hapa
- Arsenal - timu iliyofanyiziwa ile mabay ya kwanza ni Arsenal - goli la Europa likiwa la 109 na 110 kwa Hazard
- Liverpool - Mojawapo ya magoli mengi aliyowafunga Liverpool ni lile goli la mwaka la Chelsea likiwa la 95 kwa Hazard alilowafunga Liverpool kwa kuwanyanyasa akina Robertson, Keita na Fabinho kwenye mechi ya Karabao Cup 26 Sept 2018
- Man united
- Ongeza zingine
Nilijua tu utashangilia kwa sababu Hazard sio tu kawafunga ila kawafanyia mbaya tangu aje Chelsea, nyie na wenzako wa Arsenal na Man u mtafanya sherehe naona
huu wa nn hukuFollow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/JmnNDUrkxNWF4KR7WLrgpo
Aliyeomba link hiyo hapo
Sawa bananga jina kama mizizi ya kienyejihuu wa nn huku
Peleka uchafu wako kule jukwaa la betting
siku nyingine usirudie tena kuvamia thread zisizokuhusu, utabakwaSawa bananga jina kama mizizi ya kienyeji