Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yan na mda c mrefu mtaanza kuona angalau mpate droo kweny hii mech
20190331_170534_rmscr.jpeg
 
Nyie hata mkibadili makocha tumeshawazoea mtapigwa tu...this time tukataka #AbramovichOut#
 
Hahaaaaa nilishasema Chelsea inarud ilipotoka

Chelsea ni level ya kina Fulham

Wakati nakua nilikuwa naiona Chelsea ikijitahid inashika nafas ya 5 au ya 6

Baada ya kuja mrusi ikanyanyuka. Sasa inarudi ilipotoka



'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Kipa kepa .... Hahaaa

Mkishambulia kwa nidhamu lazima mpate magoli kwa huyu kepa,

Yaan ukikutana na Chelsea wewe shambulia kwa nidhamu ,lazima utumbukize mpira nyavuni


Paun mill 71

Hahaaa ,huyu kepa tumepigwa

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom