Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nikiwa Kama Nimwenyekiti wa Maombolezo tayari Nimeshakuja na Gari kushusha Viti na Matents kwa Ajili ya Matanga hapa Kwenye Msiba unaotarajiwa Kutokea Hivi Punde.

Nimeshawasiliana na Afisa Bajeti AROON ili tujue tufanyeje Kuhusu Chakula.

Na MC DullyJr atatueleza utaratibu wa Shughuli itakavyoendeshwa.

CC: Ollachuga Oc
Tulia msiba utakuwa sherehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Man city anacheza against Chelsea na Liverpool. Akishinda huzuni zinatanda kwenye hizi timu mbili.
Wakati sisi Man United tuna.
Nafasi ya NNE hatung'ooki leo hata kwa greda

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.

Na Chelsea leo anacheza Against Man City, Man United, Arsenal na King Ngwaba myself .
 
Na Chelsea leo anacheza Against Man City, Man United, Arsenal na King Ngwaba myself .
Wewe ndo shabiki wa looserfool unayetaka King of London afungwe..

Wakati unajua kabisa hatma yenu ya kunyanyua kwapa msimu huu ipo mikononi mwetu.

Hao Man united na arsenal ni taka taka tu kwangu. Bado wana misimu mitatu ya kucheza europa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndo shabiki wa looserfool unayetaka King of London afungwe..

Wakati unajua kabisa hatma yenu ya kunyanyua kwapa msimu huu ipo mikononi mwetu.

Hao Man united na arsenal ni taka taka tu kwangu. Bado wana misimu mitatu ya kucheza europa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wacha dharau KING OF LONDON ni Arsenal sio Chelsea iliyozaliwa 2005.

"Kila Mbuzi Atakula Kulingana na Urefu Wa Kamba Yake"

CC: DullyJr
 
Nikiwa Kama Nimwenyekiti wa Maombolezo tayari Nimeshakuja na Gari kushusha Viti na Matents kwa Ajili ya Matanga hapa Kwenye Msiba unaotarajiwa Kutokea Hivi Punde.

Nimeshawasiliana na Afisa Bajeti AROON ili tujue tufanyeje Kuhusu Chakula.

Na MC DullyJr atatueleza utaratibu wa Shughuli itakavyoendeshwa.

CC: Ollachuga Oc
Kwa hiyo siku hizi misiba inawahiwa kabla, je ukikosea nyumba, mtaingia gharama ya kuhama
 
Leo Man city anacheza against Chelsea na Liverpool. Akishinda huzuni zinatanda kwenye hizi timu mbili. Wakati sisi Man United tuna Nafasi ya NNE hatung'ooki leo hata kwa greda.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Na Chelsea tunacheza dhidi ya Man City, Man United na Arsenal
 
Mzigo huu hapa
IMG_20190210_180531.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom