Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo wote hawatutatumia false no 9. Kwa hyo mabeki wetu wawe vizur katika kukaba. Maana man city wanatanua uwanja kwa wingers zao (Sterling na Bernardo Silva) kukaa pembeni kabsa ili Full backs wawafuate waache nafasi kwa ajili ya midfielder wake (David Silva na De Bruyne) kupita kirahisi.

Approach ile ile itumike. Kante na Kovacic kuwasaidia mabeki kwa kuwafuata midfielder wa man city wacpewe mpira ndani ya box.

Tutawakamata nina uhakika.
Akizuiwa fernandinho asicheze mpira anavyofanya siku zote gemu imeisha ila akicheza kwa uhuru aisee itakuwa ngumu ila mancity Leo anakufa kwao ila gemu itakuwa ngumu sana maana wao wanashinikizo kubwa
 
Kila la heri wadau wetu wa Chelsea

Inabidi Guardiola afundishwe kuwa hii sio La Liga kwa Barca
 
Hazatd akiondoka Chelsea itakua imara sana lakini pia inategemea anaondoka wakati gani. Kwa mfano kipindi kile ndio Sarri anaingia tetesi za Hazard ndio zikaanza hapo hatukua na mtu wa kureplace nafasi yake hapo ingekua ni hali mbaya sana. Zikaja zikaanza tetesi tena usajiri wa January zikaanza tena tetesi unafikiri ingekua poa kuondoka January au mwanzo wa msimu? Lazima ingetutesa hii.

Lakini kama mwisho wa msimu Hazard akiondoka nadhani itakua sawa kwa sababu tunaweza kufanya usajiri wa maana kureplace mafasi yake na kocha naye anaweza kujiandaa maisha bila Hazard. So kwangu naona Chelsea kuwa imara kwa Hazard kuondoka kwa mtindo huo lakini siyo ule usajili wa January au msimu ulipokuwa unalekea kuanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Of course akiondoka mwisho wa mwaka, Chelsea wasingeweza kumuachia January. Mwisho wa msimu akiondoka Chelsea inafursa ya kuingia sokoni na kuibalance timu sawa na kocha anavyotaka
 
Akizuiwa fernandinho asicheze mpira anavyofanya siku zote gemu imeisha ila akicheza kwa uhuru aisee itakuwa ngumu ila mancity Leo anakufa kwao ila gemu itakuwa ngumu sana maana wao wanashinikizo kubwa
Kwa hiyo leo mnamfunga manchester city
 
Nikiwa Kama Nimwenyekiti wa Maombolezo tayari Nimeshakuja na Gari kushusha Viti na Matents kwa Ajili ya Matanga hapa Kwenye Msiba unaotarajiwa Kutokea Hivi Punde.

Nimeshawasiliana na Afisa Bajeti AROON ili tujue tufanyeje Kuhusu Chakula.

Na MC DullyJr atatueleza utaratibu wa Shughuli itakavyoendeshwa.

CC: Ollachuga Oc
 
Akizuiwa fernandinho asicheze mpira anavyofanya siku zote gemu imeisha ila akicheza kwa uhuru aisee itakuwa ngumu ila mancity Leo anakufa kwao ila gemu itakuwa ngumu sana maana wao wanashinikizo kubwa
Inamaana nyie hamna shinikizo?au mmelizika na mnajiandaa kucheza uropa?
 
Nikiwa Kama Nimwenyekiti wa Maombolezo tayari Nimeshakuja na Gari kushusha Viti na Matents kwa Ajili ya Matanga hapa Kwenye Msiba unaotarajiwa Kutokea Hivi Punde.

Nimeshawasiliana na Afisa Bajeti AROON ili tujue tufanyeje Kuhusu Chakula.

Na MC DullyJr atatueleza utaratibu wa Shughuli itakavyoendeshwa.

CC: Ollachuga Oc
Wewe hauwaombei washinde

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Leo wenyeji hawatulii hapa wanasubir mpira uishe wamwagike yanachungulia tu
 
Inamaana nyie hamna shinikizo?au mmelizika na mnajiandaa kucheza uropa?
Shinikizo tunalo hasa kuhusu nafasi nne za juu lakini city kwa alichokifanya liverpool jana kuhusu mbio zazaubingwa Shinikizo ni kubwa upande wao na tukitumia huo mwanya kucheza bila shinikizo tutashinda vizur tuu kwa sababu njia tunayopita sis Leo hata man u anaipitia hiyo hiyo inategemeana ubora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom