Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sarri on Man City - Chelsea clash

Sarri has told his team what they have to do to get an unlikely victory at The Etihad this afternoon.

He said: "We need to be very fast when we are able to recover the ball, because the first lost ball they are able to press really, really very well so it’s very difficult to exit that situation.

“If we will be able to do it, I think we can find spaces. But it is very difficult.
 
Nilishasemaga huko nyuma kwamba Hazard akihama Chelsea itakuwa bora zaidi

Leo nimepitia sehemu nikakuta kuna na wachambuzi wnegine huko wa mpira wa miguu katoa nae pointi zile zile kuwa Hazard akiondoka Uongozi utasajili mbadala ambao unaweza kuifanya timu ipate balance na hivyo kuwa bora Zaidi ya sasa

Chelsea might be better off without Hazard - Gordon Strachan explains why

CHELSEA might be a better all-round team if Eden Hazard leaves this summer.

Edena Hazard - Chelsea 2019.jpg
Hazard has continued to stoke the flames surrounding his future by declaring that he had decided what he wanted to do about it while refusing to let anyone know.

The forward has less than 18 months left to run on his contract and has long been linked with a dream move to Real Madrid.

This could be the summer it finally happens as the Blues struggle to get him to agree fresh terms.
But Strachan says his departure would mean they could reinvest in the squad and become more balanced.

He told The Debate: “Do you think they're too reliant on him? When I watch them now, it's like the rest of the team are a backing for Hazard and they play his way.

“There’s a level where you go below and you’re playing against a lot of worse players than you.

“You can’t keep that kind of exciting level all the time. In this country it really is hard work every week in terms of playing against teams.
“When I watch Chelsea just now, I think, it’s like even the real good players are like, ‘I’ve got the ball, where is he?’

“It’s an unofficial movement but they go through him.

“I think they’re so reliant on him that it might be they get that money then you can make a more rounded team rather than they just seem to be waiting on Hazard picking up the ball.

“And by the way as a supporter you love it watching it. You love it watching it.

”But I just think they’re so reliant on this one player.”
 
yaani kama moyo ungekuwa unafunguka tungeona mashabiki wa the bulues wanavyojisikia


cityzen chairman am here
 
Liverpool alimkazia city mzunguko wa kwanza pale anfield na akapata droo.....alipokuja ethihad moto alowashiwa hawez sahau.....sasa nyie leo mmetua kwenye mikono ya pep sijui atawaachaje....
 
Nilishasemaga huko nyuma kwamba Hazard akihama Chelsea itakuwa bora zaidi

Leo nimepitia sehemu nikakuta kuna na wachambuzi wnegine huko wa mpira wa miguu katoa nae pointi zile zile kuwa Hazard akiondoka Uongozi utasajili mbadala ambao unaweza kuifanya timu ipate balance na hivyo kuwa bora Zaidi ya sasa

Chelsea might be better off without Hazard - Gordon Strachan explains why

CHELSEA might be a better all-round team if Eden Hazard leaves this summer.

View attachment 1018841Hazard has continued to stoke the flames surrounding his future by declaring that he had decided what he wanted to do about it while refusing to let anyone know.

The forward has less than 18 months left to run on his contract and has long been linked with a dream move to Real Madrid.

This could be the summer it finally happens as the Blues struggle to get him to agree fresh terms.
But Strachan says his departure would mean they could reinvest in the squad and become more balanced.

He told The Debate: “Do you think they're too reliant on him? When I watch them now, it's like the rest of the team are a backing for Hazard and they play his way.

“There’s a level where you go below and you’re playing against a lot of worse players than you.

“You can’t keep that kind of exciting level all the time. In this country it really is hard work every week in terms of playing against teams.
“When I watch Chelsea just now, I think, it’s like even the real good players are like, ‘I’ve got the ball, where is he?’

“It’s an unofficial movement but they go through him.

“I think they’re so reliant on him that it might be they get that money then you can make a more rounded team rather than they just seem to be waiting on Hazard picking up the ball.

“And by the way as a supporter you love it watching it. You love it watching it.

”But I just think they’re so reliant on this one player.”
Hazatd akiondoka Chelsea itakua imara sana lakini pia inategemea anaondoka wakati gani. Kwa mfano kipindi kile ndio Sarri anaingia tetesi za Hazard ndio zikaanza hapo hatukua na mtu wa kureplace nafasi yake hapo ingekua ni hali mbaya sana. Zikaja zikaanza tetesi tena usajiri wa January zikaanza tena tetesi unafikiri ingekua poa kuondoka January au mwanzo wa msimu? Lazima ingetutesa hii.

Lakini kama mwisho wa msimu Hazard akiondoka nadhani itakua sawa kwa sababu tunaweza kufanya usajiri wa maana kureplace mafasi yake na kocha naye anaweza kujiandaa maisha bila Hazard. So kwangu naona Chelsea kuwa imara kwa Hazard kuondoka kwa mtindo huo lakini siyo ule usajili wa January au msimu ulipokuwa unalekea kuanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea namba NNE ndo ishachukuliwa, ili mrudi kwenye namba mnajua cha kufanya.

Tuko pamoja, fanyeni mambo, Man Utd anachukuaje namba yenu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom