Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

FT thoughts #CHEHUD:

* Hazard unplayable, MOTM.
* Higuain on fire, great link-up with Hazard.
* Christensen very solid.
* Kante played like he Sarri took him home and gave him private lesson.
* We play more direct with less control.
* 5-0 Chelsea. Great reaction. #cfc
Mkuu nimepaona kuleeeeee,unapokopi.
 
baada ya kushnda tano kwa wachovu huder unaona jog anafaa jiulize kwa nini sliva mapasi yupo mbele y mkabaji fernandinho acha ushangiliaji kuwa shabiki

Ivi unajua kante kawa disspossed mpira mara nyingi kuliko jorginho? Karibu mara mbili kabisa??
Ivi unajua kante kapiga pasi nyingi za nyuma kuliko jorginho( bila ya kujal kante kapiga pasi chache zaidi lakini alizopiga nyuma ni nyingi kuliko za jorginho?
Ivi unajua jorginho ana succesfull passes nying kuliko middle yoyote epl?
Ivi unajua jorginho ana blocks nyingi kuliko kante?
Iv unajua jorginho anaongoza kwa succesfull trough balls kuliko middle yoyote epl?
Kitu pekee alichompita ni interception na tackles

Msimu huu kwa stats hakuna kocha yoyote mwenye akili timamu atamwanzisha ile nafasi kante akamwacha jorginho nje

Hivi nyie mashabiki uchwara wa chelsea mnataka jorginho awafanyie nini mpaka mmkubali??




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Si tunasubiri kante akose kazi kwenye mfumo wa sari.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha mkuu tatizo watu hawapendi kuangalia stats vizuri.
Hesabu haijawai kudanganya.
Kante hawezi kucheza ile nafasi ya jorginho ata kidogo katika mpira wa sarri
Mpira huu wa chelsea wa sasa n kwa sababu ya jorginho.
Na ndio maana timu yoyote ikitaka kuifunga chelsea watamkamia jorginho(muukizen pochetino alishasema)
Siku huyo jorginho wasiompenda akianzia nje timu lazima ita struggle mno.
Kwa mfumo wa sarri ni bora kante akae nje ila sio jorginho




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cardiff city 2 - Bournemouth 0
baada ya kutuotea hangover imewalaza chali kwa cardiff
 
Kwanza wanatakiwa wajue kazi ya Regista kwenye timu ni nini? Mfano wamch
Hahaha mkuu tatizo watu hawapendi kuangalia stats vizuri.
Hesabu haijawai kudanganya.
Kante hawezi kucheza ile nafasi ya jorginho ata kidogo katika mpira wa sarri
Mpira huu wa chelsea wa sasa n kwa sababu ya jorginho.
Na ndio maana timu yoyote ikitaka kuifunga chelsea watamkamia jorginho(muukizen pochetino alishasema)
Siku huyo jorginho wasiompenda akianzia nje timu lazima ita struggle mno.
Kwa mfumo wa sarri ni bora kante akae nje ila sio jorginho




Sent from my iPhone using JamiiForums
ukulie Pirlo
 
Cardiff city 2 - Bournemouth 0
baada ya kutuotea hangover imewalaza chali kwa cardiff

Kuwa na aibu kidogo hivi 4-0 umeotewa? Mbona mwaka jana walikupiga kipigo kama hiki na round hiihii bila kupata lakufutia machozi?
 
Kuwa na aibu kidogo hivi 4-0 umeotewa? Mbona mwaka jana walikupiga kipigo kama hiki na round hiihii bila kupata lakufutia machozi?
Kwani ya kuotea huwa yanakuwa mangapi na wakati gani?
 
Sarri alisema unacho expect ni tofauti na role yake. Unajua anacheza umbali gani na goal? Unajua kazi ya Regista uwanjani? Hii ni Italian football. Ukitaka ujue Regista ni nan muangalie Pirlo au hata Busquets kidogo ndo utaelewa.

Kutoa assists mipira mingi mbona anapiga lakn forward hawazitendei haki? Hivi unajua sisi ndo tunaongoza kwa ku create chance EPL? Tatizo ni umaliziaji (Conversion ya magoli)

Tatizo siyo Jorginho.
kama game hata hii hana asisit anafanya nini
 

Attachments

  • Screenshot_20190127-000129.png
    Screenshot_20190127-000129.png
    15.6 KB · Views: 20
  • Screenshot_20190130-154520.png
    Screenshot_20190130-154520.png
    76.7 KB · Views: 20
  • Screenshot_20190115-065546.png
    Screenshot_20190115-065546.png
    270 KB · Views: 19
Jorginho ni engine ya Chelsea. Yeye ndo anajua sarriball. Ndo maana anaelekeza uwanjani. Ukitaka ujue ile role ya Regista ni ngumu muangalie Shaka wa Arsenal kachoma magoal 5 mpaka sasa. Au angalia akiwekwa mtu mwingine kwa mfano Ampadu au Kovacic mambo yanabadilika.

Jorginho anajua kujiposition hasa kwa timu zinazo press high. Kama man city etc. Je kante ataweza kujiposition na kucheza passes za haraka? Kante abaki pale pale na ana adapt vizuri.

Sarri tumpe muda. Tumetoka kwny timu ya kukaba now tunabadilika kwenda kwenye attacking football. Pep na Klopp walipewa muda na hela ya ku implement philosophy zao.

Tatizo la mashabiki ya Chelsea tumezoea kocha akija, atupe kombe msimu wa kwanza. Ndo maana hatuna subira
 
Team issues

Every defender is not suited to a back 4, better in back 3 formations where protected more

Fbs that cant pass, cross or attack properly

No goalscoring or creative lcm

No Consistent Rw who runs in behind or does anything different

Lack of football iq & Grinta
 
“I think Kovacic could be a very good option, then we need to recover completely [Ruben] Loftus-Cheek after the back problem. Then we can play sometimes with Kovacic as a central midfielder and Jorginho will be able to rest.”

Aaah Ruben in Lcm soon 👏😀
 
Maurizio Sarri -

“Jorginho needs movement without the ball from the other players because he is used to play one touch, and it's very difficult to play one touch without the movement of the other players”.
 
Collymore: "I think it's time for Chelsea sell Hazard. Luiz’s a liability. Willian should also move. There are some big-time Charlies who believe they are on the same level as Chelsea legends such as Drogba, Terry and Lampard. Well, I’ve got news for them - they are nowhere near"
 
Busquets ni kiungo mahiri duniani ila kwa Spain katika miaka mitatu ana assist moja
Copa del rey katika miaka mitano ana assists zero
Laliga katika miaka mitano ana assist 14 na magoli mawili tu
At least sio lazima uwe na assist ndio uwe kiungo bora lakini angalau uwe na pasi zinazoanzisha movement ya magoli pamoja na kazi ya msingi ya kuunga timu pale katikati
Jorginho anatakiwa kufanya yafuatayo ili awe kiungo kamili
  1. Kuzuia mashambulizi
  2. Kuwaunganisha wenzake katikati
  3. Kuanzisha movement kwa passing za ndani (yaani deep passes) zenye kuzaa magoli
 
Man City vs Chelsea Overview.

If Man City win. Pts 59+3=62 ambapo atalingana Liverpool ila atakaa juu ya Liver kwa sababu kamzidi kwa GD kama naye Liver atazingua kwenye game yake japo naombea Bournemouth afungwe si chini ya goli 4 ili ajue uchungu na yeye wa kufungwa 4-0 unavyouma.

If Chelsea draw. Pts 50+1=51 atalingana point na Man U ambaye naye kama atashinda game yake huko. Sijampa Chelsea win kwa sababu tuna asilimia nyingi za kudraw kuliko kuwin coz tupo ugenini halafu sisi ndio tuliomtibua vuzi kwa kumuondolea ule mfululizo wa kutopoteza. Pia form alinayo kwa sasa pamoja na Aguero wake ukilinganisha na sisi huo ndio ukweli. Japo ushindi ndio unatafutwa ugenini.

Uzuri ni kwamba game hii itachezwa ikiwa Liver na Man U wao watakua washacheza game zao Jmosi. So itakua na watazamaji wengi.

Kwa yeyote yule atakayepoteza hii game anajiweka nafasi mbaya mno. Hapa kama nawaona mashabiki wa Liver wanaomba watuazime striker yao huku wakianza kuona Higuain ni bonge la striker huku na Man U nao wanaona kama Fernandinho na Silva wanafaa sana na Pogba kwa hiyo itapendeza wakisimama pamoja huku golini wakimuweka De Gea .

Hii ni vita baridi kati ya Liverpool na Man Utd. Hahahaa I LOVE THIS GAME.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man City vs Chelsea Overview.

If Man City win. Pts 59+3=62 ambapo atalingana Liverpool ila atakaa juu ya Liver kwa sababu kamzidi kwa GD kama naye Liver atazingua kwenye game yake japo naombea Bournemouth afungwe si chini ya goli 4 ili ajue uchungu na yeye wa kufungwa 4-0 unavyouma.

If Chelsea draw. Pts 50+1=51 atalingana point na Man U ambaye naye kama atashinda game yake huko. Sijampa Chelsea win kwa sababu tuna asilimia nyingi za kudraw kuliko kuwin coz tupo ugenini halafu sisi ndio tuliomtibua vuzi kwa kumuondolea ule mfululizo wa kutopoteza. Pia form alinayo kwa sasa pamoja na Aguero wake ukilinganisha na sisi huo ndio ukweli. Japo ushindi ndio unatafutwa ugenini.

Uzuri ni kwamba game hii itachezwa ikiwa Liver na Man U wao watakua washacheza game zao Jmosi. So itakua na watazamaji wengi.

Kwa yeyote yule atakayepoteza hii game anajiweka nafasi mbaya mno. Hapa kama nawaona mashabiki wa Liver wanaomba watuazime striker yao huku wakianza kuona Higuain ni bonge la striker huku na Man U nao wanaona kama Fernandinho na Silva wanafaa sana na Pogba kwa hiyo itapendeza wakisimama pamoja huku golini wakimuweka De Gea .

Hii ni vita baridi kati ya Liverpool na Man Utd. Hahahaa I LOVE THIS GAME.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahhaha, vita baridi indeed, tena ukizingatia baada ya hiyo game watakutana tena game inayofuata.

All in all namuombea jirani mpiga kelele ashinde nasi tushinde ili tuonje Radha ya top 4 hata kwa masaa kadhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom