Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Hazard: "We will see. I don't want to talk about this every day, I don't have time. But we will talk about my future soon."
Huyu nae ni king?? Kuna watoto wadogo wameingia juzi tu kwenye game na wanafanya makubwa zaidi yake. Following his trend na sioni kama anakua zaidi ya hapo.
at leat Leo umechambua vyemaBusquets ni kiungo mahiri duniani ila kwa Spain katika miaka mitatu ana assist moja
Copa del rey katika miaka mitano ana assists zero
Laliga katika miaka mitano ana assist 14 na magoli mawili tu
At least sio lazima uwe na assist ndio uwe kiungo bora lakini angalau uwe na pasi zinazoanzisha movement ya magoli pamoja na kazi ya msingi ya kuunga timu pale katikati
Jorginho anatakiwa kufanya yafuatayo ili awe kiungo kamili
- Kuzuia mashambulizi
- Kuwaunganisha wenzake katikati
- Kuanzisha movement kwa passing za ndani (yaani deep passes) zenye kuzaa magoli
Hatutaki msaada wenu.Mshinde sasa sio pang'ang'a mingi. Nitakuwepo hapa kuwashabikia![]()
Hahaha asee we chalii mjanja mjanja sana wewe
Sisi tuko kuhakikisha Liverpool anabeba ubingwa msimu huu.Hahaha asee we chalii mjanja mjanja sana wewe
Who is Hazard by the way, sawa ni mchezaji mzuri lakini timu haimtegemei ili kufikia malengo, timu inawategemea wachezaji wote as a team ili kuleta matokeo. Niliwahi kusema huko nyuma na narudia tena kusema kwamba Hazard akitoka Chelsea itaboreka zaidi. Tulikuwa na Thibaut Courtois, kipa bora sio Chelsea tu bali duniani, yuko wapi, alitoka Chelsea kwa sasa ina kipa bora balaa. Akitoka Hazard tutamleta mbadala wake atakayeipenda timu na kuibeba bila maneno mengi kama ya Hazard kila kukicha "we will see", mara Real Madrid is my dream team, mara Zinedine Zidane is my ....." aende zake ili presha za mashabiki ziteremke. Mimi nikisomaga taarifa za Hazard za kutaka kutoka ninakereheka sana kwa sababu angeweza kutoka bila kupiga domo kaya. After all ni haki yake kuchezea timu aipendayo ila domo la nini?View attachment 1015001Tuanzeni kuzoea maisha bila Hazard msimu ujao.....
Mwaka wa ngapi huu sijui anashindwa kufikia hatua ya kupambania ballon dor![]()
Huyu nae ni king?? Kuna watoto wadogo wameingia juzi tu kwenye game na wanafanya makubwa zaidi yake. Following his trend na sioni kama anakua zaidi ya hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
All matches are must win especially the home games and away games must at least take one point the minimum we can doChelsea's next 5 prem fixtures :
Man City ( A )
Spurs ( H )
Fulham ( A )
Wolves ( H )
Everton ( A )
How many wins are we getting?
Spurs is a must win considering the race for the top 4 is so close.