RASCO BOY
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 428
- 485
Aisee muda unaenda mbio! Maana baada ya ile 4G LTE kwa kweli sikukuona jukwaani til today ...hahaha hongera kwa ushindi.pia kumbuka kupunguza maneno ya taarabu maana mpila hauchezwi mdomoni.hiyo hupelekea ukifungwa unaumia Mara mbili pia kuogopa maneno ya kejeli kutoka kwa wapinzani .ongelea mpila katita uhalisia la sivyo utapata taabu sana siku unapopigwa 4G LTE!
Ile ndio gemu ya mwisho kufungwa msimu huu.Aisee muda unaenda mbio! Maana baada ya ile 4G LTE kwa kweli sikukuona jukwaani til today ...hahaha hongera kwa ushindi.pia kumbuka kupunguza maneno ya taarabu maana mpila hauchezwi mdomoni.hiyo hupelekea ukifungwa unaumia Mara mbili pia kuogopa maneno ya kejeli kutoka kwa wapinzani .ongelea mpila katita uhalisia la sivyo utapata taabu sana siku unapopigwa 4G LTE!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu...kuwa serious bhana! Mm kazi yangu nitakuwa ni kukushitua tu kama HV basi! Maana siku si nyingi utapotea tena kusikojulikana,,,sasa ukirudi utakuta nimeku-tag.maana vipigo vingine vinakuja .Leo ingawa mumeshinda kwa vibonde ila bado mupo vulnerable ! Narudia tena vingine vipo njiani ...they are coming... so beware!Ile ndio gemu ya mwisho kufungwa msimu huu.
zote zilizobaki ni kupiga tu hakuna nmna
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaona timu gani tena Itagipa Chelsea zaid ya goal mojaMkuu...kuwa serious bhana! Mm kazi yangu nitakuwa ni kukushitua tu kama HV basi! Maana siku si nyingi utapotea tena kusikojulikana,,,sasa ukirudi utakuta nimeku-tag.maana vipigo vingine vinakuja .Leo ingawa mumeshinda kwa vibonde ila bado mupo vulnerable ! Narudia tena vingine vipo njiani ...they are coming... so beware!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha ha.. Aaaaah haya bhana !Haipo ila ikitokea nitakutag kama kawa ...ila usikimbie kimbie ukipata kipigo jikaze .OK usiku mwema!
Jourginho hana shida kwenye zile pasi za Sari ndio maana anampenda. Shida ya Jourgninho ni 3 kubwa:Kusema kweli hata mimi ubaya wa jorginho sijauona na zile passi fupi ndio maelekezo alopewa na mwalimu sisi shida yetu ni kule mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana anahitaji kupewa nafasi zaidi.
Mzee bado Yuki vizuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
unang'4ta na kupuliza huna msimamo jog ni mbovu kwa jins anavyopata mpira ingekuwa ampadh km europa anafantaga vizur anatupa pas nying kwa winga na si mido wenzakeJourginho hana shida kwenye zile pasi za Sari ndio maana anampenda. Shida ya Jourgninho ni 3 kubwa:
Ila hata mimi nakiri kiujumla kwa mfumo wa Sarri Kante asingeweza hiyo nafasi kwa sababu Kante anafaa zile game za akina MOU, Conte na Ranieri za counter attack. Ukimfuatilia Kante kote alikochukua ubingwa ni mfumo ule ule wa kaunter attack, akipata mipira anatoa long balls ambazo sari hataki
- Hawezi kabisa kufanya passing through ambazo ni dangerous kama alivyofanya jana Kante kwenye goli la kwanza la Higuaín au kama alivyokuwa akifanya Fab au sasa hivi Luiz. Infact hata Kepa na Christiansen wanampita Jourginho kwa through passing.
- Pia Jourginho ni mlenda, ligi ya Uingereza ni PHYSICAL na inatakiwa mtu mkakamavu anayeweza kujibu anapovamiwa na mwili aweze kujibu kwa ugali, yeye hiyo hana kabisa. Kovacic na Kante kidogo wakakamavu japo Kante kwa sababu ya kamwili anazidiwa saa nyingine. Mechi karibia zote Chelsea walizofungwa ni kwa sababu mpinzani anakuwa Physical wakati sisi tunacheza Kisarisari au kimlenda mlenda tu!. Ndio maana saa nyingine huu mfumo wa Sari usipoboreshwa na kufanywa uwe physical na kutumia counter attack mara chache kama plan B ya kupata matokeo mimi siupendi kabisa
- Tatizo la 3 la Jourginho ni hawezi kabisa kutoa long balls passing, hata jana kuna moja kajaribu anajikuta anampasia kipa badala ya kumtengenezea Higuaín. Na mechi zingine alijaribu mara chache hawezi kupiga long balls ambazo ofcourse sari hazipendelei kabisa
timu gani hii tuliyopiga tano. ndio unajipa iman mpira ule ule
baada ya kushnda tano kwa wachovu huder unaona jog anafaa jiulize kwa nini sliva mapasi yupo mbele y mkabaji fernandinho acha ushangiliaji kuwa shabikiJorginho is way better passer than kante, Jamaa ndo anaongoza kwa successfull pases epl kwa ma midfield , jamaa anapiga succesfull through balls kuliko midfield yoyote epl. Jorginho can read the game better ya kante. He is the best registar than kante .
Kitu pekee kante alichompita ni kukaba na interceptions ambavyo ukiwa unaposses mpira muda wote(sariball) hutokea mara chache kuliko kupiga pasi.
Sijawai kuelewa kwa nn mashabiki wa chelsea wanataka sarri ampange kante badala ya jorginho as the pivot of sarri ball.
Anaejua anieleshe
Sent from my iPhone using JamiiForums
kama game hata hii hana asisit anafanya niniKafanya nn kibaya kwenye game ya Leo? Baada ya kuwalaumu kina Alonso na Willian kila siku wanacheza vibaya. Au una Jorginho agenda?
Heri yangu nang'ata na kupuliza kama unavyoita, wewe huoni kabisa ukweli wala upande mwingine wa shilingi, na huchukui hata muda kusoma kilichoandikwa ukaelewa. Nimesema Jourgninho kwa mfumo wa uchezaji wa Sarri hana shida na ndivyo ilivyo, Kante anafaa mfumo mwingine kabisa wa akina MOU na Conte wa counter attack na direct football ambao mfumo huo sari ameukataa.unang'4ta na kupuliza huna msimamo jog ni mbovu kwa jins anavyopata mpira ingekuwa ampadh km europa anafantaga vizur anatupa pas nying kwa winga na si mido wenzake