Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,373
Acha roho mbaya mkuu, kwa hiyo waombolezaji ndio tuungue na jua sio???
Its true maana watu wanapig kelele kante sio position yakeNi bora Chelsea Tuwe na rekodi ya kufukuza makocha lakini uyu kocha afukuzwa mapema tu uwezo wake mdogo sana Naamini hata Europ Itamshinda yaani mpaka uyu mfungaji aliyemsajili atamuona Garasa kwa.mbinu zake mbovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huyo piatek angekuja angeonekana galasha tuIts true maana watu wanapig kelele kante sio position yake
Pia kusajiki Higuan badala ya Pitek mwenye miaka 23 jana kawafungia goli 2 AC Milan
Chelsea tunafeli wapi??
Maana pitek alikuwa na mkataba wa hela ndogo ..35 mio USd
Tukaenda kununua Higuan ambaye hana future ndani ya club
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumchimbie kaburi kabla hajafa vizuri ajue atazikwa wapi


Jirani zile sufuria zipo wapi?


.

