RASCO BOY
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 428
- 485
Huyo Man City tayari nilishamfunga tena bila kuruhusu nyavu kutikisika na msimu huu lazima tuondoke na kikombe.Msimu huu unaona Chelsea anachukua kikombe gani kwa Team aliyonayo?
Au unahisi atamfunga City?
Sent using Jamii Forums mobile app