Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani unaifunga Spurs ambayo haina Harry Kane wala Son alafu unajiona mkali?
Tena ushindi wa Penati. Msubiri City aje kukunyoosha.
 
Kwa kuwa fainali ni 24/02/2019, basi ngoja tusubiri ile game ya ligi mnayocheza na City tarehe 10/02/2019

Nakukumbusha pia Community Sheild pia alikupapasa.

Chelsea achukue hicho kikombe cha kahawa mbele ya City. Maanina labda Mbeya City

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnamakocha wawili viazi hapo sari hajawahi kucheza mpira na akiwa kocha hajabeba chochote

Ukija huyo zola kocha msaidizi sunderland na west ham zote alizishusha daraja wakatimulia mbali


ole akiwa mchezaj kabeba kila kitu ngazi ya club

Ukija kocha msaidizi wetu kabeba kila kitu na sir elex

Michael carick nae kabeba kila kitu

Hazard ndo mana wanazinguana na msimamizi wa mazoez sari hana medal yoyote
Daah yan sasa ivi mnavimba kweli. Kipindi cha Mou wewe ulikua hutokei humu. Kweli maisha yanabadilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona wivu linakusumbua. Ivi kwenye league cup Nani alikutoa? Na ulitoka lini?

Naomba ujifunze kwamba timu inapoingia uwanjani kila upande, inaingia kwa lengo la kupta point 3. Lakini upande mwingine inapozidiwa mbinu Basi ujue hapo lazima apate kipigo. Kwa upande wetu tulizidiwa mbinu Spurs wakatufunga kwenye ligi na first leg kwenye kombe la lingi cup. Nasi Jana tukawazidi ujanja tukawafunga. Mpira Ni ku...win, draw and lose. So relax mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kwamba haelewi huyu. Anaelewa vizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyewe nishazoea. Nasubiri May nitaenda jukwaa la Liverpool na lenu. Maana Livet wenyewe washajigawa kuna Ukawa hapo nasubiri May najua watakua mpaka na NGO's.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha sisi hatuna tunachopigania tushazoea hali yetu msimu huu hata tukimaliza wa 8 fresh maana tuna kocha wa muda ndo mana tunajiachia tu ila liverpool watakuwa na la kujibu kocha ana miaka 4
 
Wanaume wawili wakimuongelea mwanaume mwenzao, mmoja Akiwa ameshagongwa kisago na mwingine akishindwa kutamba nyumbani kwake😁😁😁
 
Preferred Chelsea front 3’s:

1. Hazard, Higuaín, CHO
2. Hazard, Higuaín, Pedro

If Hazard rests:

1. CHO, Higuaín, Pedro

If Higuaín rests:

1. Hazard, Giroud, CHO
2. Hazard, Pedro, CHO
Huyo CHO bado sana, anafaa kupewa dk 10-20 tu
1. Hazard, Higuaín, Willian
2. Hazard, Higuaín, Pedro

Hazard akipumzishwa ndio anaweza cheza namba yake akishirikiana na Willian
1. CHO/Willian, Higuaín, Pedro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom