Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

The Blues have been drawn at home to Luton or Sheffield Wednesday in the fourth round of the @EmiratesFACup! ⚽️
 
Sarri: "Here everything is really very difficult. If you think in the League Cup we played against Liverpool, now we have to play Tottenham. In an eventual final probably against Manchester City. It is like playing in the Champions League I think for the League Cup."
 
Sarri: "In the last match we were not able to have the right reaction to a positive situation because after the second goal we conceded four shots on goal in two minutes. So we need to learn that we cannot lower the application in the defensive phase."
 
Chelsea have been drawn at home against Sheffield Wednesday or Luton in the The FA cup fourth round

The fourth round is scheduled to take place between Friday 25 January and Monday 28 January

#CFC #FACup
 
Duu Edson Cavani tena mbona Chelsea tuna wachezaji wengi wazuri tu wako kwa mkopo, Batshuay Tammy Abraham, kwa nini tusiwarudishe hawa tunaenda kusajili wazee.
Tangu aondoke Emmenalo Chelsea tunafel sana kwenye transfer market
Wachezaji wa kiwango cha Cavani kule mbele ukimuondoa Hazard hatuna, majigambo ya nini wakati tunajijua, huko walipo wangekuwa wazuri tungesikia na tungeona, Batshuayi alijaribu Bundesliga lakini wapi hawezi kufukia kiwango cha akina Cavani hata Higuani. Chelsea kutaka kuwasajili hao wazee ni ili kutatua tatizo la muda mfupi. Katika maendeleo yeyote ni lazima uweze ku address issues za muda mfupi kati na muda mrefu. Kama Cheslea ikiamua kuaddress matatizo ya muda mrefu tu kwa kuwategemea wachezaji wanaochipukia tutaishia kuwa kama Arsenal hata top 4 kupata itakuwa ndoto kwetu. Mimi nafikiri busara nzuri ni kukabiliana na matatizo ya muda mfupi kati na mrefu kwa mbinu zenye kuleta tija kwa timu
Tukimpata Cavani tumetatua tatizo la mbele angalau kwa miaka mitatu ijayo kama hatapa injury. Higuain naye ni mzuri kwenye mfumo wa Sarri kwa sababu hata alipokuwa Napoli ktk mechi 35 alitumbukiza magoli 36. Japo nakiri kuwa kumsajili Higuain ni gambling kwa sababu ya umri wake na ufungaji wake umepungua lately may ni kwa sababu ya mifumo ya makocha wapya au uzee
 
Sarri on Barella: "I don’t want to speak about players of other teams. If Cesc wants to go then we need a replacement. I don’t know the situation of Loftus, if it is serious. Without Cesc we are only five, we need a replacement."
Kwa nini huyu mzee yeye ni "I DON'T KNOW" tu!
 
IMG_4876.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wachezaji wa kiwango cha Cavani kule mbele ukimuondoa Hazard hatuna, majigambo ya nini wakati tunajijua, huko walipo wangekuwa wazuri tungesikia na tungeona, Batshuayi alijaribu Bundesliga lakini wapi hawezi kufukia kiwango cha akina Cavani hata Higuani. Chelsea kutaka kuwasajili hao wazee ni ili kutatua tatizo la muda mfupi. Katika maendeleo yeyote ni lazima uweze ku address issues za muda mfupi kati na muda mrefu. Kama Cheslea ikiamua kuaddress matatizo ya muda mrefu tu kwa kuwategemea wachezaji wanaochipukia tutaishia kuwa kama Arsenal hata top 4 kupata itakuwa ndoto kwetu. Mimi nafikiri busara nzuri ni kukabiliana na matatizo ya muda mfupi kati na mrefu kwa mbinu zenye kuleta tija kwa timu
Tukimpata Cavani tumetatua tatizo la mbele angalau kwa miaka mitatu ijayo kama hatapa injury. Higuain naye ni mzuri kwenye mfumo wa Sarri kwa sababu hata alipokuwa Napoli ktk mechi 35 alitumbukiza magoli 36. Japo nakiri kuwa kumsajili Higuain ni gambling kwa sababu ya umri wake na ufungaji wake umepungua lately may ni kwa sababu ya mifumo ya makocha wapya au uzee
Mkuu unachosema ni kweli kabisa. Kwa muda mfupi tutatibu ila kama tu atakuwepo Cavan ila siyo Higuain huyu wa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo anasepaa...

Bayern Munich have made a fresh £35m bid for Callum Hudson-Odoi, reaching Chelsea's valuation of the winger.
 

Attachments

  • 1546950597418.png
    1546950597418.png
    103.6 KB · Views: 27
Huyu hatakiwi kuuzwa hata kwa dawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachotakiwa kufanyika ni Sarri kumhakikishia nafasi mara kwa mara, vinginevyo kwa 35m ni ngumu kumzuia maana kabakiza miezi 18 tu kwa mkataba wake.

Tuna imani Sarri atamtumia kama alivyosema kwamba kwa sasa ana nafasi sawa kati yake, William na Pedro.

Wacha tuonee.....
 
Chelsea are about to sign midfielders Nicolò Barella and Leandro Paredes in addition to Christian Pulisic. It's not looking good for Ross Barkley!
 
BREAKING: Sky sources: @FCBayern table a fourth bid for Callum Hudson-Odoi, matching @ChelseaFC’s required asking price of £35m. #SSN
 
Chelsea are about to sign midfielders Nicolò Barella and Leandro Paredes in addition to Christian Pulisic. It's not looking good for Ross Barkley!
Ni Nicolò Barella or Leandro Paredes
Mimi naona Leandro Paredes ni afadhali
 
Alvaro Morata For Sale
Meanwhile, the offers continue to arrive at Cobham for the player, with Sevilla one of those interested, while Bayern Munich and Borussia Dortmund made inquiries late on Saturday as well. No decisions have been made yet, but all signs suggest Morata will be up for sale this winter and Chelsea have made it a priority to find a replacement this January as they will likely move him on.
 
Kinachotakiwa kufanyika ni Sarri kumhakikishia nafasi mara kwa mara, vinginevyo kwa 35m ni ngumu kumzuia maana kabakiza miezi 18 tu kwa mkataba wake.

Tuna imani Sarri atamtumia kama alivyosema kwamba kwa sasa ana nafasi sawa kati yake, William na Pedro.

Wacha tuonee.....
Kweli kabisa dogo amekua kisoka hivi sasa

Nilimwangalia match ya FA Cup alikuwa moto sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom