Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Halafu ndo mlitaka tuwape Martial mtupe huyo Willian?

Hii ingekuwa maana halisi ya biashara kichaa.
Willian ni mchezaji mzuri, kaichoka tu Chelsea, naamini akihama atacheza vizuri tu
 
Please who can remember how it happened the last time Chelsea played away at Watford. 83 minutes Watford 1:0 Chelsea
84 mins Watford 1:1

Full time Watford 4:1 Chelsea.




Kepa leo ajiandae kugaragazwa
 
Predicted lineup today
Formation: 4-3-3
Hazard - Giroud - Pedro
Loftus Cheek - Jorginho - Kanté
Alonso/Emerson - David Luiz - Rüdiger - Azpilicueta

Arrizabalaga
 
Guys club yetu imeanza kukua tofauti na kipindi kile tunaanza kuishabikia Chelsea (binafsi nimeanza kuishabikia Chelsea 2004 wakati nimeanza kupata exposure ya kutazama mpira kwenye runinga).

Tunahitajika kukua hasa kiakili (mentally) na kihisia (emotionally).

Tunapaswa kukaa hapa Chelsea ifunge au ifungwe, iwe kwenye form nzuri au mbaya, tunabezwa au wengine wamenyamaza labda kama mtu hapati muda wa kuingia jamii forums.

Tukae humu watu tutoe maoni yetu, tuvutane mashati, tulaumiane, tukosoane kwa hoja bila kutukanana.

Binafsi kabla ya Chelsea sikuwa na timu mwingine Uingereza wala Ulaya. It's Chelsea day and night.

Come on the blues tusiwe kama wale ambao wapo makaburini kufufua timu zao zilizokufuta miongo iliyopita
 
LINEUP YA LEO
Kepa
Azpillicueta, Rudiger, Luiz, Alonso
Kante, Joginho, Kovacic
Willian, Hazard, Pedro
 
Dah leo sari afanye kama ampunzishe jorginho aanze fabregas kidogo timu itaenda mbele maana jorginho anapiga back pass nying na pasi za pembeni ambazo hazina madhara
 
Please who can remember how it happened the last time Chelsea played away at Watford. 83 minutes Watford 1:0 Chelsea
84 mins Watford 1:1

Full time Watford 4:1 Chelsea.




Kepa leo ajiandae kugaragazwa
Dua la kuku hili
 
Yani Chelsea mnacheza sawa na hao Watford. Yan mnasukuma tu mpira uende mbele. No ambition, no aggressiveness ya kutaka ushindi wala goli. Yani mpompo tu
 
Hakuna kinacho fanyika uwanjani. Nimeangalia dkk 15 za mwisho kipindi cha kwanza sijaona kama kweli tunatafuta ushindi. Hata kama ikitokea tumeshinda ni kwa miujiza tu.
 
Please who can remember how it happened the last time Chelsea played away at Watford. 83 minutes Watford 1:0 Chelsea
84 mins Watford 1:1

Full time Watford 4:1 Chelsea.




Kepa leo ajiandae kugaragazwa
Tulia ww usha draw huko na timu yako ya kujinyonga bado ww tu unywe sumu

29 nakumalizieni hiyo shingo soton hakuimalizia kuikata
 
This jan kuna haja ya kufanya usajili centre back mmoja, wing moja na clinical striker mmoja. Kwa hiki ninachokiona hata top four tunaweza tusitoboe.
 
Top four itakua ndoto kwetu
Poor chelsea
Na game ijayo na Palace lazima tufungwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom