Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,937
- 27,199
Mkuu wasamehe, watu wengi wamekariri sana kwakua miaka ambayo Chelsea imeanza kupata mafanikio wao wanadhani ndio wengi tumeanza kuishabikia.Mkuu mbona unauliza maswali badala ya kusubiri jibu unajijibu? Kiufupi toka 93 naangalia EPL sikuwa na team ,team niliyokuwa nashabikia ni dortmond ,ila mwaka 1997 niliamua mwenyewe kuanza kuishabikia Chelsea ya captain wise,Celestine babayaro,frank leboeaf,Gustavo poyet,gianluca vialli,Roberto di Matteo,Dan petrescu niliupenda muunganiko huu,pia sikupenda team zenye washabiki wengi option niliyokuwa nayo ni Chelsea
Kuna jamaa namjua vizuri ni shabiki wa Newcastle kufa kupona ila ndio ivyo kesho kesho kutwa mtu akimkuta atamwambia ameanza kushabikia baada ya Benitez kuichukua timu.
So tuwazoee tu