Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,485
- 8,667
Mbona tuna viungo wengi isco na fekir wa nn tatizo letu si viungo- Transfer Episode:
• Isco
• Higuaín
• Fekir
Mbona tuna viungo wengi isco na fekir wa nn tatizo letu si viungo- Transfer Episode:
• Isco
• Higuaín
• Fekir
Akija fekir au isco kipenzi chetu kante atakwenda madrid ,psg au barca na tutatukuwa tumetoa sadaka mzuri kama madrid walivyo mwachia makelele wakakaa 5 years trophilessMbona tuna viungo wengi isco na fekir wa nn tatizo letu si viungo
Akija fekir au isco kipenzi chetu kante atakwenda madrid ,psg au barca na tutatukuwa tumetoa sadaka mzuri kama madrid walivyo mwachia makelele wakakaa 5 years trophiless
Mkuu kumbe we ni shabiki wa Chelsea![]()
![]()
Unasema umeanza kuangalia EPL toka mwaka 1993??Nachotaka kujua kwamba ulianza kuishabikia Chelsea mwaka Gani?
Na ivi Chelsea mwaka 93 ilimaliza ya ngapi PL?1994 je?
Bila shaka wewe umehamia Chelsea 2006![]()
![]()
Mkuu mbona unauliza maswali badala ya kusubiri jibu unajijibu? Kiufupi toka 93 naangalia EPL sikuwa na team ,team niliyokuwa nashabikia ni dortmond ,ila mwaka 1997 niliamua mwenyewe kuanza kuishabikia Chelsea ya captain wise,Celestine babayaro,frank leboeaf,Gustavo poyet,gianluca vialli,Roberto di Matteo,Dan petrescu niliupenda muunganiko huu,pia sikupenda team zenye washabiki wengi option niliyokuwa nayo ni ChelseaMkuu kumbe we ni shabiki wa Chelsea [emoji3][emoji3]
Unasema umeanza kuangalia EPL toka mwaka 1993??Nachotaka kujua kwamba ulianza kuishabikia Chelsea mwaka Gani?
Na ivi Chelsea mwaka 93 ilimaliza ya ngapi PL?1994 je?
Bila shaka wewe umehamia Chelsea 2006 [emoji23][emoji23]
Sarri ball inagoma kante kukaa 6 unless kocha abadili playing styleFekir anacheza 10, Kante anarudi zake 6.
I had sacrifice Joginho between 2.
Sarri ball inagoma kante kukaa 6 unless kocha abadili playing style
I will be happy to sign Fekir he has a lot to prove compared to HiguainChelsea fans, would you be happy if we were to sign Higuain and Fekir in January?
Mnahitaji kupata viungo na defense ambao ni kazi kazi ku-compliment mapungufu ya Joginho inapokuja kwenye physical game.
Ni mwalimu kuamua tu game ya city nilimuona kante karudi deep sana although alifunga ila alifanya kazi nzuri
Watu tuna miaka 30 tunashabikia Chelsea mdogo wangu. Usichukulie watu poa.!Mkuu kumbe we ni shabiki wa Chelsea [emoji3][emoji3]
Unasema umeanza kuangalia EPL toka mwaka 1993??Nachotaka kujua kwamba ulianza kuishabikia Chelsea mwaka Gani?
Na ivi Chelsea mwaka 93 ilimaliza ya ngapi PL?1994 je?
Bila shaka wewe umehamia Chelsea 2006 [emoji23][emoji23]
hongera kwa kuchagua chama kubwaMkuu mbona unauliza maswali badala ya kusubiri jibu unajijibu? Kiufupi toka 93 naangalia EPL sikuwa na team ,team niliyokuwa nashabikia ni dortmond ,ila mwaka 1997 niliamua mwenyewe kuanza kuishabikia Chelsea ya captain wise,Celestine babayaro,frank leboeaf,Gustavo poyet,gianluca vialli,Roberto di Matteo,Dan petrescu niliupenda muunganiko huu,pia sikupenda team zenye washabiki wengi option niliyokuwa nayo ni Chelsea
mbona wanacheza position tofauti hao utawacompareje mkuu?I will be happy to sign Fekir he has a lot to prove compared to Higuain
Morden football aiangalii position mkuu filimihno Liverpool anacheza number kumimbona wanacheza position tofauti hao utawacompareje mkuu?
Obamayang anatoka pembeni kama wingmbona wanacheza position tofauti hao utawacompareje mkuu?
Jamaa leo mjitahidi ushindi maana Arsenal kashashinda, na akiwakaribia anatupigia kelele sana, inabidi mwendelee kumwacha mbali.
Fekir anacheza 10, Kante anarudi zake 6.
I had sacrifice Joginho between 2.
Leicester wananipa burudani Leo...gap linapungua
Huyo Higuain wa nn kwa Chelsea ya sasa.?- Transfer Episode:
• Isco
• Higuaín
• Fekir
Mfumo utabadilika. CM watacheza wawili yan Jorginho na Kante halafu Fekir anakipiga kama CAM. Hapo kina kova, Barkley na RLC watakosa namba kabisa.Fekir anacheza 10, Kante anarudi zake 6.
I had sacrifice Joginho between 2.