Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata liverpool sio wavumilivu ni vile klopp anawafurahisha na soka la kushambulia tu mmesahau yote subir akose ubingwa wowote msimu huu utaona moto wake blendan rogers mbona hakuvumiliwa kama klopp?
toka nijiunge jf mara ya kwanza na ya pili leo ndio umenena point ww wa man u
 
Zingeendrlea maana spurs tatzo n beki na midle moja
Tatizo la spurs ni kocha mshindani wa kucheza kwa ajili ya makombe spurs wana beki 4/5 ambao top six wanaanza kikosi cha kwanza bila shida kuna gem unatakiwa kushambulia na zingine lazima uwe na adabu siri kubwa ya liverpool kwa sasa kawa na adabu sari mech ya city alicheza kwa adabu hakutaka kufunguka alihitaji matokeo na alipata
 
Hawa ndio makocha wanaojua kucheza na mind games. Keshawapa morali wachezaji wake, sasa hapo presha ipo kwa timu atakayokutana nayo.
IMG_20181216_103933_941.jpeg
 
Naamini ana uchovu was fikra na mwili itafika wakati atarudi kwenye ubora wake was kupiga kross,tackle, header pia nimemmisi kwenye faulo
Namuona Alonso anaruka ruka tu, makosa mengi sana sijui shida nn
 
huku ndani kumepoa hakuna hata live up-to-date the blues what is happening ? au tunatafakari team yetu wenzetu Liverpool na arsenal hata wakicheza na vidagaa mi up-to-date kibao ,tunalala sana wake up (includes me)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom