Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea wanaoweza kupata namba spurs first eleven ni hazard na kante basi ,wakati mwingine tunaweka upenzi pembeni ,kikosi bora kabisa ni city ,pili Spurs.nimalizie kuunga mkono hoja spurs tishio hawana kocha wa ubingwa
Hapo ndio akili yako imeishia? Wewe kwanza sio mßhabiki wa mpira labda Lipuli au mbao
 
Katika hawa chipukizi wa Chelsea ni Lofta Cheek na Odoi tu wenye uwezo wa kupewa namba First XI
Hawa wengine wana uzembe wa kukosa uzoefu. Mfano goli alilojifunga Ampadu ni la kizembe kwenda mbele, hutakiwa kuugusa mpira wa kasi ulio centimeta chache muelekeo wa goli
Odoi ana ball control nzuri ila hana confidence wakati wa kufanya maamuzi
 
Bado tuko nyuma sana wakuu, angalau kidogo katikati. Ila nyuma na forward zetu tuna mapungufu mengi .
 
Hakuna team naiogopa kama spurs vitimu vidogo vyote anavipiga kwangu huyu ni hatari kuliko Liverpool alianza ligi kwa uchovu wa world cup kumbuka ni team moja ilikuwa na wachezaji wengi world cup,pia walikuwa na injury

Una haki ya kusema unaiogopa Spurs, maana kakufunga.

Vipi Arsenal umewaangalia?
 
FT Thoughts #VIDCHE:

* Hudson-Odoi is ready for everything. My MOTM.
* RLC had an off day.
* Zappacosta not even good enough as a backup.
* Emerson had another good game.
* Ampadu was very good game despite scoring own goal.
* Barkley very ordinary.

2-2 a fair result.
 
Chelsea - Vidi FC thoughts:

- Emerson decent, fluid attacking
- Ampadu good besides OG
- Christensen average
- Zappacosta leaving soon?
- RLC bad 1st, decent 2nd
- Willian good
- CHO solid at RW, good at LW
- Giroud > Alonso for free-kicks?
- Not awful considering “dead game”
 
Commentator:

"Hudson-Odoi, every time the ball comes to him, kills it perfectly with first touch"
 
I hope Morata's injury is not too bad. I want him to be fully fit when the winter transfer window comes, so that he can leave in January 🙈 A long-term injury will reduce his chances of leaving in January. [Damn I'm so evil] 🙈
 
Nauliza tu
Pochettino angepewa timu moja kati ya hizi zingeboreka zaidi au zingekuwa pale pale au zingezorota zaidi
Chelsea
Liverpool
Man united
Arsenal
 
I hope Morata's injury is not too bad. I want him to be fully fit when the winter transfer window comes, so that he can leave in January [emoji85] A long-term injury will reduce his chances of leaving in January. [Damn I'm so evil] [emoji85]
Hah hah hah....
 
Nauliza tu
Pochettino angepewa timu moja kati ya hizi zingeboreka zaidi au zingekuwa pale pale au zingezorota zaidi
Chelsea
Liverpool
Man united
Arsenal

Nadhani Liverpool na Arsenal kungemfaa zaidi, kwa sababu kati ya hizo timu nne ni hizo mbili ndizo ambazo zina level kubwa ya kuwavumilia makocha wakiwa wanatengeneza timu zao.

Sina uhakika sana na Pochetino akipewa timu yenye fedha jinsi atakavyozitumia, lakini level ya uvumilivu kwa Chelsea na Man Utd ni kikwazo sana kwa makocha, demand ya kudeliver ni kubwa sana.
 
Nadhani Liverpool na Arsenal kungemfaa zaidi, kwa sababu kati ya hizo timu nne ni hizo mbili ndizo ambazo zina level kubwa ya kuwavumilia makocha wakiwa wanatengeneza timu zao.

Sina uhakika sana na Pochetino akipewa timu yenye fedha jinsi atakavyozitumia, lakini level ya uvumilivu kwa Chelsea na Man Utd ni kikwazo sana kwa makocha, demand ya kudeliver ni kubwa sana.
Hata liverpool sio wavumilivu ni vile klopp anawafurahisha na soka la kushambulia tu mmesahau yote subir akose ubingwa wowote msimu huu utaona moto wake blendan rogers mbona hakuvumiliwa kama klopp?
 
Hata liverpool sio wavumilivu ni vile klopp anawafurahisha na soka la kushambulia tu mmesahau yote subir akose ubingwa wowote msimu huu utaona moto wake blendan rogers mbona hakuvumiliwa kama klopp?

Unajua kuna kuangalia progress, baada ya Suarez kuondoka timu ilianza kuporomoka kwa kasi sana, na jamaa alimaliza msimu ule, badala ya kufanya usajili kuimprove timu ikawa ndo kama anaizika zaidi, kwa hiyo ilibidi aondoke.
 
Hapo ndio akili yako imeishia? Wewe kwanza sio mßhabiki wa mpira labda Lipuli au mbao
Una haki ya kusema unaiogopa Spurs, maana kakufunga.

Vipi Arsenal umewaangalia?
Spurs anawacheza kwenye ubora wa hali ya juu ,team haijawai kubeba ubingwa recently lakini toka 2015-2018 misimuitatu ndiyo team pekee imeweza kutoa wachezaji 3-4 kwenye kikosi bora cha EPL kila mwaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom