eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Captain, Leader, Legendary John Terry
Thanks for everything my leader
Thanks for everything my leader
Kweli nimeamini chelsea haijui kuzuia siku hizi ni mbele kwa mbele tuTAKWIMU ZA ULINZI (DEFENCE):
Tackles:
1. Idrissa Gana Gueye - Everton (37)
2. Aaron Wan-Bissaka - Crystal Palace (32)
3. Mohamed Diame - Newcastle (31)
4. Ricardo Pereira - Leicester (30)
5. Will Hughes - Watford (29).
Blocks:
1. James Tarkowski - Burnley (16)
2. Shane Duffy - Brighton (15)
3. Ben Mee - Burnley (11)
4. Christopher Schindler - Huddersfield (11)
5. Wesley Hoedt - Southampton (9).
Clearances:
1. Steve Cook - AFC Bournemouth (63)
2. Fabian Balbuena - West Ham (62)
3. James Tarkowski - Burnley (61)
4. Sean Morrison - Cardiff (55)
5. Sol Bamba - Cardiff (54).
Headed Clearances:
1. James Tarkowski - Burnley (37)
2. Ben Mee - Burnley (36)
3. Shkodran Mustafi - Arsenal (33)
4. Nathan Ake - AFC Bournemouth (31)
5. Sol Bamba - Cardiff (31).
Mpk wakati huo December team zitakua zimeachana points. Zitakua sio zote timu tatu zimefungana point km ilivyo sasa hivyo matokeo yoyote wakati huo yanaweza yasiwe na manufaa Kwa Liverpool.
Tarehe 08 Disemba...saa kumi na mbili za jioni!
Muda huo huo utakuwa ukikipga na Bournemouth.
Kweli nimeamini chelsea haijui kuzuia siku hizi ni mbele kwa mbele tu
Bournemouth Ni Wa Kawaida tu.
Kwasasa Midtable Wa Kumuogopa Ni Wolverhampton tu anatisha ile mbaya Kwani walichowafanyia Man City na Man United wanaweza Kumfanyia na yeyote.
Nafikiri mtoa hoja hakuwa na maana ya kuwa Liverpool watakuwa nyuma na wewe una tatizo la prejudicate.Kwahiyo unamaanisha Kipindi Hicho Liverpool atakuwa Ameshaachwa Kwa Points Nyingi ama?
Yani wewe na watu Kama wewe Huwa Ni Kituko Linapokuja Suala la Soccer.
Kwenye EPL 2018/19
Liverpool:
Kacheza Michezo 8
Katoa Sare 2
Kapoteza 0
Ana Points 20
Timu Alizotoa Sare: Mancity & Chelsea
Chelsea:
Kacheza Michezo 8
Katoa Sare 2
Kapoteza 0
Ana Points 20
Timu alizotoa Sare: West Ham & Liverpool
Man City:
Kacheza Michezo 8
Katoa Sare 2
Kapoteza 0
Ana Points 20
Timu alizotoa Sare: Wolverhampton & Liverpool
Sasa Hapo Nipe Points za Stats au Za Kisoccer zinazoonesha Kuwa ikifika December Liverpool Mutamuacha Mbali.
• Hivi Haiwezekani Chelsea Kuwa yeye Ndiye atakaeachwa mbali?
• Haiwezekani Kwa Man City Kuwa yeye Ndiye atakaeachwa Mbali?
• Kwanini iwe Liverpool tu?
Munadhani Liverpool Kudraw na Chelsea na Man City Ndiyo Ubovu Wa Timu au Ubora Wa Timu? Coz Draw haihesabiwa Kwa Timu moja tu Bali inahesabiwa Kwa Timu zote Mbili zilizotoa Sare.
Kama Wewe Ni Muangalizi Wa Mpira Basis unkiiangalia Ratiba Hii Tuliyopitia vs Spurs, PSG, Chelsea (Carab), Chelsea (EPL), Napoli na Man City basi hapo utajua Wazi Kuwa tumepita Katika Fixture Ngumu ambayo Kwa Timu Ya Kawaida tu isingevuuka Kwa Kufungamana points Kileleni.
Hapo Tumeenesha Kukomaa na Improvement ya hali ya juu.
Sasa Katika Kipindi Hicho unachoona Kuwa Hatutokuwa Karibu Yako ujue Kuwa Fixtures yetu Ni ya Kawaida ambayo haitatupa tabu yoyote.
Usijeshangaa Wewe unaejiona Utakuwa Top ukajajikuta Hata Arsenal Yupo Juu yako.
Mpira si maneno.
Kwahiyo unamaanisha Kipindi Hicho Liverpool atakuwa Ameshaachwa Kwa Points Nyingi ama?
Yani wewe na watu Kama wewe Huwa Ni Kituko Linapokuja Suala la Soccer.
Kwenye EPL 2018/19
Liverpool:
Kacheza Michezo 8
Katoa Sare 2
Kapoteza 0
Ana Points 20
Timu Alizotoa Sare: Mancity & Chelsea
Chelsea:
Kacheza Michezo 8
Katoa Sare 2
Kapoteza 0
Ana Points 20
Timu alizotoa Sare: West Ham & Liverpool
Man City:
Kacheza Michezo 8
Katoa Sare 2
Kapoteza 0
Ana Points 20
Timu alizotoa Sare: Wolverhampton & Liverpool
Sasa Hapo Nipe Points za Stats au Za Kisoccer zinazoonesha Kuwa ikifika December Liverpool Mutamuacha Mbali.
• Hivi Haiwezekani Chelsea Kuwa yeye Ndiye atakaeachwa mbali?
• Haiwezekani Kwa Man City Kuwa yeye Ndiye atakaeachwa Mbali?
• Kwanini iwe Liverpool tu?
Munadhani Liverpool Kudraw na Chelsea na Man City Ndiyo Ubovu Wa Timu au Ubora Wa Timu? Coz Draw haihesabiwa Kwa Timu moja tu Bali inahesabiwa Kwa Timu zote Mbili zilizotoa Sare.
Kama Wewe Ni Muangalizi Wa Mpira Basis unkiiangalia Ratiba Hii Tuliyopitia vs Spurs, PSG, Chelsea (Carab), Chelsea (EPL), Napoli na Man City basi hapo utajua Wazi Kuwa tumepita Katika Fixture Ngumu ambayo Kwa Timu Ya Kawaida tu isingevuuka Kwa Kufungamana points Kileleni.
Hapo Tumeenesha Kukomaa na Improvement ya hali ya juu.
Sasa Katika Kipindi Hicho unachoona Kuwa Hatutokuwa Karibu Yako ujue Kuwa Fixtures yetu Ni ya Kawaida ambayo haitatupa tabu yoyote.
Usijeshangaa Wewe unaejiona Utakuwa Top ukajajikuta Hata Arsenal Yupo Juu yako.
Mpira si maneno.
Uko sawaTakwimu za ulinzi Siku Zote zinakuwa Inversely Proportional na Ubora Wa timu.
Kila Timu ikiwa ina takwimu Kubwa Za Ulinzi Manake Hiyo Ni Mbovu inashambuliwa Sana.
Na Ndiyomana Vibonde ndiyo Wanaoongoza Hapo Kwenye Takwimu.
Timu ikiwa Bora huwa inatakwimu Ndogo za Ulinzi Kwani Mabeki na Kipa Huwa Ni Mara Chache Wanatestiwa.
Analysis ya mpira ni jambo pana sana. Naomba tuiangalie tena analysis hii.
1. Mtoa hoja uliyem-attack na kutuunganisha washabiki wote wa Chelsea unapaswa kumtaka radhi. Maneno yake yalikuwa, "... team zitakua zimeachana points..."
2. Tunapoongelea msimu wa mpira 2018/2019 tunaongelea mechi zote, za mashindano yote ambayo timu inashiriki na ambavyo ugumu/ushiriki wa mechi hizo unaweza kuathiri matokeo kwenye mechi nyingine.
3. Kwa kuangalia stats katika michezo yote ya msimu huu bado chances zinaonesha wewe utapoteza points faster than Chelsea. Au kwa maneno mengine, kwa kuangalia michezo yako ya mwisho kulinganisha na ya Chelsea...basi mtu anaweza ku-deduce kuwa Liverpool ana probability kubwa ya kupoteza points kuliko Chelsea.
CHELSEA LAST 5 GAMES: D W D W W
LIVERPOOL LAST 5 GAMES: W L D L D.
3. Tukiendelea na trend prediction (USISAHAU kuwa hizi zote ni probability na forecasting TU...hazimaanishi ni ukwli, ila zinasaidia kufanya POSTULATION).
Liverpool mpaka sasa;
IMEFUNGA magoli 19
IMEFUNGWA magoli 08
CLEAN SHEET 05.
Chelsea mpaka sasa;
IMEFUNGA magoli 22
IMEFUNGWA magoli 06
CLEAN SHEET 06.
4. LIVERPOOL ni timu ambayo iliamini baada ya dirisha la msimu wa kiangazi kufungwa kuwa imemaliza USAJILI. Wachezaji wake walionunua mpaka leo bado wanachezea benchi. Kwa mantiki hiyo tuna-assume kuwa walinunuliwa backup na sio upgrade ya kikosi kilichokuwepo.
CHELSEA kwa upande wake ilisajili wachezaji ambao walitakiwa kuwa upgrade kwa kikosi kilichokuwepo. Na mpaka sasa tumeona effect yao kwenye kikosi. Mategemeo ni kuwa, kadri wanavyoendelea kuzoeana, ubora utaongezeka, tofauti na hali kwa liverpool.
HATA HIVYO...ZOTE HIZI NI FORECASTING NA PROBABILITY...tunaweza kubishana mpaka kesho kutwa kwa kuwa SI uhalisia wa yatakayotokea.
Hii ni ya muda. Watu wanayafukua tuHapo kwa man utd inaonesha hii post iliandikwa miaka ya 2010 hivi.
Kwa bahati Mbaya Mimi Hupokea Mawazo ya Niliyemquote au Kummention tu na si ya Translator.
Huyu Jamaa wa Fulhamu mitrovic anaonEkAna ni moto