Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,196
Kama anaweza kuanza kwenye kwenye 1st eleven naamini anaweza kunitengenezea namba ya kudumu. Pia kuitwa timu ya taifa kunamrudishia confidence.
Tusubiri muda useme.
Tusubiri muda useme.
Anaweza kuwa mkuu lain hatafika level za Lampard...
Kwanza dkk anazocheza uwanjani ni chache sana.
akipata nafasi kama gemu tano mfululizo anweza kutengeneza confidence ya maana.
Tukamwita nu Lampard.
