eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Hatuwadharau ila tunawaambia ukweli lazima tuwabatizeWakuu musimu-Underestimate Arsenal Kiasi Hicho!! Anaweza Kujakuwafanyia Kitendo Musimsahau.
Hatuwadharau ila tunawaambia ukweli lazima tuwabatizeWakuu musimu-Underestimate Arsenal Kiasi Hicho!! Anaweza Kujakuwafanyia Kitendo Musimsahau.
Safari hii lazima wakasimulie huko watakaporudiWakuu musimu-Underestimate Arsenal Kiasi Hicho!! Anaweza Kujakuwafanyia Kitendo Musimsahau.
Safari hii lazima wakasimulie huko watakaporudi
Hatuwadharau ila tunawaambia ukweli lazima tuwabatize
Arsenal nipigie hawa the blues
Jukwaa langu ni lipi?...tulieni nyie unai emery awavunjie daraja lenuWatu hamtaki kwenda kutia hamasa majukwaa yenu mpo kwenye nyumba za jiran
Wee mdananda mbna hueleweki? Au kutaka kuondoka kwa Pogba kunakuvuruga nini?Jukwaa langu ni lipi?...tulieni nyie unai emery awavunjie daraja lenu
Huyu keshatoka. Kaitwa mpaka timu ya taifa anachipukia bado.? Msimu uliopita kacheza mechi kama zote Laliga. Wanaochipukia ni kina Bulka.Arrizabalaga Kepa
Mlinda mlango bora anaechipukiaView attachment 839195
Acha unaa wewe bwana mdogo..hata kwenye uzi wetu pendwa wa UNITED huwa unakuja kutuletea nzi!!Wee mdananda mbna hueleweki? Au kutaka kuondoka kwa Pogba kunakuvuruga nini?
Sasa kule nakujaga kuwachangamsha maana Mara nyngi huwa mnagombana wenywe kwa wenyewe.Acha unaa wewe bwana mdogo..hata kwenye uzi wetu pendwa wa UNITED huwa unakuja kutuletea nzi!!