Wapenzi mashabiki wa English Premier League (EPL) ndio hiyo iko kwa hewa ni masaa 23hrs pekee turudi kwa msimu mpya
First Epl
Man U Vs Leister City 11jioni
Sasa tuanzie na usajiri wetu na yajayo yanafurahisha kabla ya saa 12jioni dirisha la usajiri litakapo kuwa linafungwa.
OFFICIAL: CHELSEA YAMSAJILI KEPA ARRIZABALAGA KWA RECORD YA DUNIA €80M HUKU MATEO KOVACIC AKITOKEA REAL MADRID KWA MKOPO WA MWAKA MMOJA.
Baada ya speculation za mwezi mzima kuhusu hatima ya hatima ya goalkeeper Thibaut Courtois, Chelsea imevunja kibubu na kumnasa Kepa Arrizabalaga kutoka pale Athletic Bilbao kwa adda ya uhamisho kiasi cha €80 million sawa na (£71.5M).
Kepa mwenye umri wa miaka 24 amesign kandarasi ya miaka saba kukipiga pale Stamford Bridge
Mchakato mzima wa kumnasa Kepa, haukuwa na negotiations yoyote katika ya cfc na Athletic, Chelsea imeamuwa kulipa buyout clause na kumalizana nao japo ni expensive.
Kijana Arrizabalaga, alizaliwa umbali wa 60km nje kidogo ya Bilbao, na amekuwa na Athletic tangia akiwa na miaka 10, amekipiga katika kikosi cha vijana na amekwenda kwa mkopo misimu kadhaa kabla ya kurejea kikosini na kuchukua gloves za veteran Gorka Iraizoz, ambae amekuwa akilinda post tangia mwaka 2007, almost 400 appearances katika club.
Arrizabalaga amekwisha weka clean sheets 15, na amesha concedes mabao 65 katika games 53 za league akiwa na Athletic, huku team ikimaliza nafasi ya saba ama ya kumi na sita. So itakuwa fair tukisema kuwa hakuwa analindwa na defence nzuri.
Welcome, Kepa & Kovacic'. Let’s win some things!
View attachment 831044View attachment 831045