kuna tetesi kuwa hatapewa compensation yeyote kutokana na hayo....club inamlalamikia kwa kuitia hasara, disputes na wachezaji pamoja na lack of communication na board." Conte had received criticism for how he axed Diego Costa and how he undermined his squad by saying he wanted batter players " ..Thank you Conte and best of luck uko uendako
Hapo kwenye hasara sijaelewakuna tetesi kuwa hatapewa compensation yeyote kutokana na hayo....club inamlalamikia kwa kuitia hasara, disputes na wachezaji pamoja na lack of communication na board.
Diego Costa mbali na kucheza mpira ni brand....makampuni mengi yalikuwa yamewekeza kwake, pili ile issue na Conte ilimshusha thaman sokon...akauzwa bei chee....Diego hakuwa wa kuuzwa kwa bei ile.....hayo ni machache tu...bado yapo mengine mengi....nadhan kwenye mkataba wa conte kuna terms zinawaaruhusu Chelsea kutomlipa compensation kama itatokea atafanya hayo...ndiyo maana wanajiamn....nasikia conte anajiandaa kwenda kuidai fidia mahakaman...Chelsea nao wamejipanga wanajiamin...ila ni tetesi.Hapo kwenye hasara sijaelewa
Ok hapo nimekupata kabisaDiego Costa mbali na kucheza mpira ni brand....makampuni mengi yalikuwa yamewekeza kwake, pili ile issue na Conte ilimshusha thaman sokon...akauzwa bei chee....Diego hakuwa wa kuuzwa kwa bei ile.....hayo ni machache tu...bado yapo mengine mengi....nadhan kwenye mkataba wa conte kuna terms zinawaaruhusu Chelsea kutomlipa compensation kama itatokea atafanya hayo...ndiyo maana wanajiamn....nasikia conte anajiandaa kwenda kuidai fidia mahakaman...Chelsea nao wamejipanga wanajiamin...ila ni tetesi.
Haya maneno yatamkuta wa arsenalMaurizio Sarri ...?
Ngoja niingie Google nicheki wasifu wake binafsi "CV" .
Sijui ana mataji mangapi tokea awe mkufunzi wa mpira
Sijui aliwahi kumfunga Conte aliyeondoka nafasi anayokalia mara ngapi?
Sijui mchezaji gani mkubwa aliwahi kumfundisha maana kukaa na mastaa kazi.
Sijui kafika hata robo fainali ya mashindano ya kimataifa mara ngapi?
Yaani kila kitu sijui tu kuhusu Sarri ila nachojua alikuwa vizuri kumshindikiza Juventus kutwaa taji kila msimu.
YAJAYO YANACHEKESHA, TUTAMKUMBUKA ANTONIO CONTE NA MIZUKA YAKE YA USHANGILIAJI!
Conte amelipwa chake, sijui hiz habar umeziokota wpi,Diego Costa mbali na kucheza mpira ni brand....makampuni mengi yalikuwa yamewekeza kwake, pili ile issue na Conte ilimshusha thaman sokon...akauzwa bei chee....Diego hakuwa wa kuuzwa kwa bei ile.....hayo ni machache tu...bado yapo mengine mengi....nadhan kwenye mkataba wa conte kuna terms zinawaaruhusu Chelsea kutomlipa compensation kama itatokea atafanya hayo...ndiyo maana wanajiamn....nasikia conte anajiandaa kwenda kuidai fidia mahakaman...Chelsea nao wamejipanga wanajiamin...ila ni tetesi.
Tetesi za ManzeseDiego Costa mbali na kucheza mpira ni brand....makampuni mengi yalikuwa yamewekeza kwake, pili ile issue na Conte ilimshusha thaman sokon...akauzwa bei chee....Diego hakuwa wa kuuzwa kwa bei ile.....hayo ni machache tu...bado yapo mengine mengi....nadhan kwenye mkataba wa conte kuna terms zinawaaruhusu Chelsea kutomlipa compensation kama itatokea atafanya hayo...ndiyo maana wanajiamn....nasikia conte anajiandaa kwenda kuidai fidia mahakaman...Chelsea nao wamejipanga wanajiamin...ila ni tetesi.
Watu hawajui kuchuja habari. Kila kitu wanachkutana nacho wanachukuaConte amelipwa chake, sijui hiz habar umeziokota wpi,
weka facts...Tetesi za Manzese
Roman amemlipa Conte kwa kuvunja mkataba na amewalipa Napoli kwa kuvunja mkataba wa Sari
Antonio Conte: Chelsea sack Italian after two years in charge - Antonio Conte: Chelsea sack Italian after two years in chargeweka facts...
hii article umeisoma na kuielewa kweli; hapa wametaja tu kile kipengele cha compensation kwa conte, ila hakuna sehem waliposema chelsea wamemlipa fidia, ukiipata source yeyote iliyo confirm conte kulipwa fidia....nchek inbox nna zawadi yako.Antonio Conte: Chelsea sack Italian after two years in charge - Antonio Conte: Chelsea sack Italian after two years in charge
Chelsea imemfukuza kazi Conte so automatically wanamlipa compensationhii article umeisoma na kuielewa kweli; hapa wametaja tu kile kipengele cha compensation kwa conte, ila hakuna sehem waliposema chelsea wamemlipa fidia, ukiipata source yeyote iliyo confirm conte kulipwa fidia....nchek inbox nna zawadi yako.
duh! powa mkuu...time will tell....sijawahiandika bila kufanya tafitiChelsea imemfukuza kazi Conte so automatically wanamlipa compensation
Conte alishaanza pre-season wiki hii
FYI
Kwenye mkataba kama upande mmoja ukivunja mkataba aliyevunja mkataba anamlipa other side of the contract
Hii ni jambo la kawaida kwa Roman kuvunja mkataba na kuwalipa makocha anaowafukuza