Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Academy ya Chelsea ni moto wa kuotea mbali. nyota ya Chelsea itang'aa zaidi siku za usoni.
(Na: Antonio Conte)
Kwangu mimi si vigumu kutabiri uwezo wa Ampadu na Hudson-Odoi. Kipindi cha nyuma wakati tunacheza kombe la Carabao na lile la FA Cup niliwapatia nafasi za kucheza. Tunangelea kuhusu wacheji wawili wazuri kwenye Academy yetu.
Tuna pia Dujon Sterling na Trevol Chalobah, pia kuna Kyele Scott ambaye naya atakuwa na sisi kwenye game ya kesho (leo).
Kwa wachezaji hawa vijana, unaona kabisa nyota ya Chelsea ikingaa siku za usoni.
Ampadu:
![]()
Odoi:
![]()
Dujon] Sterling
![]()
Trevoh Chalobah
![]()
Kyle Scott
![]()
Mkuu Hiyo Academy Yenu ipo Zimbabwe? Coz naona Mateenager wote Ni black!! (Natania tu) 😀 😀 😀
By the way! Hao wote wataishia Kuuzwa na Kutolewa Kwa Mikopo Wakang'are Kwenye Timu nyengine! Wameshapita wengi kama hao Kwenye Academy ya Chelsea matokezeo Yake Sasahivi Wanafaidika Wengine.