Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea 4 Hull city 0
Giroud anafunga goli lake la kwanz tangu ajiunge na Chelsea, amepata a world class assist from Emerson. Alonso ajiangalie sana aisee!

Giroud:
3 matches. 1 goal 3 assists
 
Chelsea 4 Hull city 0
Giroud anafunga goli lake la kwanz tangu ajiunge na Chelsea, amepata a world class assist from Emerson. Alonso ajiangalie sana aisee!

Giroud:
3 matches. 1 goal 3 assists

Lakini Hapokei hela ndefu Kama Sanchez £500K per week!!
Yeye mwache afunge na atoe MaAssists lakini Kwa Sanchez Tunauza Mijezi Kibao! 😀 😀 😀
 
Inaonesha Huyo Shabiki Mwenzio Haelewi Kuwa Champion League Ni "Game Of Chance"...

Mkumbushe Kuwa Mwaka 2005 Liverpool Alifungwa na Chelsea kwenye [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] Nyumbani na Ugenini, lakini Walipokutana na Huyuhuyu Chelsea Kwenye Champion League Nusu Fainali Liverpool alimtoa Chelsea na Kusonga Mbele Kwa Sababu ya Game of Chance na Liverpool akaitumia Chance.

Msimu huo Wa 2005 Liverpool Kwenye Ligi ([HASHTAG]#EPL[/HASHTAG]) alikamata nafasi ya 5 nyuma ya Everton aliyekamata Nafasi ya 4! Lakini Liverpool Alibeba Kombe la Champion League.

Kwahiyo Champion League Ni Game of Chance na Ukiitumia Chance Vizuri basi Mutamfunga Barcelona kiulaini Kama Real alivyomfunga [HASHTAG]#PSG[/HASHTAG].

eden kimario
napoona wanampira haswa wanaweka ushabiki pembeni na kuchambua soka, nafurahi sana!!!
 
Lakini Hapokei hela ndefu Kama Sanchez £500K per week!!
Yeye mwache afunge na atoe MaAssists lakini Kwa Sanchez Tunauza Mijezi Kibao! 😀 😀 😀
Kuna wakati tunailaumu bodi kwa kununua wachezaji wa gharama ndogo ila kiukweli kuna kitu hatujakielewa vizuri. Sanchez vs Giroud ukiangalia wanavyocheza unashangaa sana. Na hata Van Djik wako 75M hajamfikia Chrostensen.
 
Lakini Hapokei hela ndefu Kama Sanchez £500K per week!!
Yeye mwache afunge na atoe MaAssists lakini Kwa Sanchez Tunauza Mijezi Kibao! 😀 😀 😀
Kwa shabiki alieko tanzania kufurahia mauzo ya jezi du. Si tunapenda matokeo mazuri
 
Chelsea 4 Hull city 0
Giroud anafunga goli lake la kwanz tangu ajiunge na Chelsea, amepata a world class assist from Emerson. Alonso ajiangalie sana aisee!

Giroud:
3 matches. 1 goal 3 assists
Mtu anayetoa assist inaonyesha sio mchoyo,
Tatizo bado litakuwa kwa Conte kuweza kutambua nani anafit wapi na kwa chemistry ipi. Hii rotation policy ya kocha ni nzuri bali ina gharama yake. Gharama mojawapo ni kufungwa kirahisi. Mchezo wa jumanne ni lazima wazoefu wapangwe kwa umakini zaidi
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Kuna wakati tunailaumu bodi kwa kununua wachezaji wa gharama ndogo ila kiukweli kuna kitu hatujakielewa vizuri. Sanchez vs Giroud ukiangalia wanavyocheza unashangaa sana. Na hata Van Djik wako 75M hajamfikia Chrostensen.


Wewe umelewa Kweli!! Huyu Christensen Wako labda Kamzidi Nini VVD?
VVD alistruggle Mechi za Awali Kwasababu Alinunuliwa na Kuanzia Kucheza akiwa hajakaa na Timu akatengeneza mfumo...

Lakini Kwa sasa ameshatulia na Anacheza Defending ya Uhakika.

Christensen Wako Ni Level za Kina Lovren, Jones na Smalling! Lakini Kwa VVD atasubiri sana.

Wacha Kumfananisha [HASHTAG]#VVD[/HASHTAG] na mambo ya Kipumbavu.
 
Wewe umelewa Kweli!! Huyu Christensen Wako labda Kamzidi Nini VVD?
VVD alistruggle Mechi za Awali Kwasababu Alinunuliwa na Kuanzia Kucheza akiwa hajakaa na Timu akatengeneza mfumo...

Lakini Kwa sasa ameshatulia na Anacheza Defending ya Uhakika.

Christensen Wako Ni Level za Kina Lovren, Jones na Smalling! Lakini Kwa VVD atasubiri sana.

Wacha Kumfananisha [HASHTAG]#VVD[/HASHTAG] na mambo ya Kipumbavu.
VVD who is that?
Give me a break! Una maanisha yule wa paundi 75! Si alifungwa na swansea? Duu ushabiki saa nyingine laana
 
VVD who is that?
Give me a break! Una maanisha yule wa paundi 75! Si alifungwa na swansea? Duu ushabiki saa nyingine laana

Ilikuwa umalizie tu "Ushabiki saa nyengine ni laana kwa Mashabiki Wa Chelsea" yaani unampima Beki Kisa Liverpool imefungwa na Swansea??
Kumbe nyie Mashabiki Maandazi Bado Mupo?

Sasa Huyo Christensen Wako si alifungwa na:-

1) Arsenal
2) Bournemouth Migoli 3
3) Watford migoli 4
4) Hesabu inaendelea.....

Je tumuhesabu Hafai???

Nyie Watoto Wa 1995 muna matatizo Kweli!! Eti Beki Kafungwa na Swansea!! 😀 😀 😀

Hivi Wewe Dogo Unakumbuka AC Milan ya Carlo Ancheloti ikiwa na Beki Visiki Duniani Kwa Wakati Huo Kama Paulo Maldin, Nesta na Cafu lakini ilifungwa Goli 4 kwa bila na Deportivo La Coruna Kwenye [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG]? Je yuko anayethubutu kusema Maldin ni Mbovu Kisa tu alifungwa Nne bila? Sorry! Kumbe kipindi hicho ulikuwa Mwanafunzi Wa Chekechea (Kindergarten)!

Dogo elewa Hakuna Beki isiyofungwa Duniani Kwani Hata Hiero alifungwa akiwa na Real Yake.

Kufungwa na Swansea si Kigenzo cha Ubovu Wa Beki!

Yap! VVD ni £75m! Lakini Kwa Jinsi Alivyoituliza na Kuibadilisha Beki Yetu yote basi sisi Liverpool tunasema Wazi Kuwa basi hiyo £75m ni Bargain Kwetu! Jamaa anajua tena maajabu anacheza uzuri akiwa hana Kiungo Mkabaji (Defensive Midfielder) Wa maana Coz anacheza na Hendo ambaye Hata hajui uwanjani jukumu lake ni Nini!!!

Lakini Kinachowauma Nyinyi Chelsea Nishakijua! Ni Wivu tu Kwasababu Aliikataa Chelsea na Kuchagua Liverpool!
Labda umesahau Kuwa Chelsea na Man City walikuwa Wakimtaka Kwa hali Yoyote hile!!
Sasa Chelsea nao Walikuwa Wakimtaka Mchezaji mbovu??

Dogo jifunze Kureply kwa Wakubwa Zako.
 
Ilikuwa umaluzie umalize tu "Ushabike saa nyengine ni laana kwa Mashabiki Wa Chelsea" yaani unampima Beki Kisa Liverpool imefungwa na Swansea??
Kumbe nyie Mashabiki Maandazi Bado Mupo?

Sasa Huyo Christensen Wako si alifungwa na:-

1) Arsenal
2) Bournemouth Migoli 3
3) Watford migoli 4
4) Hesabu inaendelea.....

Je tumuhesabu Hafai???

Nyie Watoto Wa 1995 muna matatizo Kweli!! Eti Beki Kafungwa na Swansea!! 😀 😀 😀

Hivi Wewe Dogo Unakumbuka AC Milan ya Carlo Ancheloti ikiwa na Beki Visiki Duniani Kwa Wakati Huo Kama Paulo Maldin, Nesta na Cafu ilifungwa Goli 4 kwa bila na Deportivo La Coruna Kwenye [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG]? Je yuko anayethubutu kusema Maldin ni Mbovu Kisa tu alifungwa Nne bila? Sorry! Kumbe kipindi hicho ulikuwa Mwanafunzi Wa Chekechea!

Dogo elewa Hakuna Beki isiyofungwa Duniani Kwani Hata Hiero alifungwa na Real Yake.

Kufungwa na Swansea si Kigenzo cha Ubovu Wa Beki!

Yap! VVD ni £75m! Lakini Kwa Jinsi Alivyoituliza na Kuibadilisha Beki Yetu yote basi sisi Liverpool tunasema Wazi Kuwa basi hiyo £75m ni Bargain Kwetu! Jamaa anajua tena maajabu anacheza uzuri akiwa hana Kiungo Mkabaji (Defensive Midfielder) Wa maana Coz anacheza Hendo ambaye Hata hajui uwanjani jukumu lake ni Nini!!!

Lakini Kinachowauma Nyingi Nishakijua! Ni Wivu tu Kwasababu Aliikataa Chelsea na Kuchagua Liverpool!
Labda umesahau Kuwa Chelsea na Man City walikuwa Wakimtaka Kwa Bali Yoyote hile!!
Sasa Chelsea nao Walikuwa Wakimtaka Mchezaji mbovu??

Dogo jifunze Kureply kwa Wakubwa Zako.

Mbna povu kubwa jibu kw hoja na sio kuanza kkashifu watu we mwnyw upo nyuma ya keyboard za sim inawezekana mtoto tu kw hyo mtoa hoja .
 
Ilikuwa umaluzie umalize tu "Ushabike saa nyengine ni laana kwa Mashabiki Wa Chelsea" yaani unampima Beki Kisa Liverpool imefungwa na Swansea??
Kumbe nyie Mashabiki Maandazi Bado Mupo?

Sasa Huyo Christensen Wako si alifungwa na:-

1) Arsenal
2) Bournemouth Migoli 3
3) Watford migoli 4
4) Hesabu inaendelea.....

Je tumuhesabu Hafai???

Nyie Watoto Wa 1995 muna matatizo Kweli!! Eti Beki Kafungwa na Swansea!! 😀 😀 😀

Hivi Wewe Dogo Unakumbuka AC Milan ya Carlo Ancheloti ikiwa na Beki Visiki Duniani Kwa Wakati Huo Kama Paulo Maldin, Nesta na Cafu ilifungwa Goli 4 kwa bila na Deportivo La Coruna Kwenye [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG]? Je yuko anayethubutu kusema Maldin ni Mbovu Kisa tu alifungwa Nne bila? Sorry! Kumbe kipindi hicho ulikuwa Mwanafunzi Wa Chekechea!

Dogo elewa Hakuna Beki isiyofungwa Duniani Kwani Hata Hiero alifungwa na Real Yake.

Kufungwa na Swansea si Kigenzo cha Ubovu Wa Beki!

Yap! VVD ni £75m! Lakini Kwa Jinsi Alivyoituliza na Kuibadilisha Beki Yetu yote basi sisi Liverpool tunasema Wazi Kuwa basi hiyo £75m ni Bargain Kwetu! Jamaa anajua tena maajabu anacheza uzuri akiwa hana Kiungo Mkabaji (Defensive Midfielder) Wa maana Coz anacheza Hendo ambaye Hata hajui uwanjani jukumu lake ni Nini!!!

Lakini Kinachowauma Nyingi Nishakijua! Ni Wivu tu Kwasababu Aliikataa Chelsea na Kuchagua Liverpool!
Labda umesahau Kuwa Chelsea na Man City walikuwa Wakimtaka Kwa Bali Yoyote hile!!
Sasa Chelsea nao Walikuwa Wakimtaka Mchezaji mbovu??

Dogo jifunze Kureply kwa Wakubwa Zako.
Liverpool hata muunde timu namna gani nyie ni wasindikizaji tu na makombe mtamezea mate kama ubwabwa usio wako
 
Vad Dijk anaweza kuwa defender mzuri huko mbeleni lakini kwa sasa tutegemee yale makosa ya kizembe ya kuto concentrate na kuruhusu magoli ya kizembe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom