Bakayoko alikuwa hovyo kabla ya redcard huyu ndio kazinguaNa Cahill angapata Red card, ili next game tupumzike nao kabisaa
Bakausengee.. Drinkwater alimkosea nini Conte?
Kwisha habar yenu bakayoko
Kashafanya yake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]![]()
Usajili bora wa msimu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nasikia sauti yako masikion kwangu mkuuuuuKesho tunaamka bila Conte kuwa kocha wa Chelsea.