Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Fact of the day


Arsene Wenger has coached the president of Liberia, George Weah!
Mkuu sio tu alimfundisha, Wenga ndie aliyemwibua George Weah kutoka katika klabu ya Tonnerre Yaoundé ya mji wa Younde Cameroun mwaka 1988 na kumpeleka kwenye ligi za Ulaya wakati huo Arsene Wenga akiifundisha Monaco kabla hajaamia Arsenal. Wenga alimpenda sana kama kijana wake na alimpa upendelea mkubwa sana na kumsaidia mpaka akafikia viwango na jina alilonalo sasa. Weah hatamsahau kabisa Wenga kwani japokuwa wakati huo ubaguzi wa rangi ulikuwa kwenye peak duniani lakini wenga alimtunza sana kama kijana wake
Kwa maelezo zaidi unaweza kufuata hii link hapa
George Weah Ashinda Uchaguzi Mkuu wa Urais Liberia 2017
 
Alafu kuna watu wanasema Conte aondoke ili aje mzee yule aliyetimuliwa Real na Bayern kwa sababu ya kushindwa kuleta matokeo tegemewa
Ndo hapo mkuu. Watu wanashindwa kuelewa kwamba kila kizazi kina zama zake. Zama za hao ziliisha na kwa kipindi chao walifanya vizuri. Wazee kama Fargason wanaojua kusoma nyakati ndo maana waliamua kustaafu. Sasa Hawa akina Wenger na huyo aliyefukuzwa hawawezi kushanishindana tena na akina Guardiola, Diego Simion, Conte au Zidane
 
Chelsea line up v Stoke - Courtois; Azpilicueta, Cahill (c), Rudiger; Moses, Kante, Drinkwater, Alonso; Willian, Morata, Pedro

Substitutes v Stoke - Caballero, Christensen, Zappacosta, Fabregas, Bakayoko, Hazard, Batshuayi
 
Kasoro iko wapi? Binafsi nimefurahi hakuna Hazard

Sidhani kama kutakuwa na creativity pale katikati, naona leo Kante ataenda mbele zaidi na Drinkwater atakaa nyuma kidogo. Link kwa Morata sijui kama itakuwa nzuri. Ila ngoja tuone kocha kawaza nini
 
Sidhani kama kutakuwa na creativity pale katikati, naona leo Kante ataenda mbele zaidi na Drinkwater atakaa nyuma kidogo. Link kwa Morata sijui kama itakuwa nzuri. Ila ngoja tuone kocha kawaza nini
Sasa ya nn kuendelea kumchezesha mtu ambaye hayuko loyal kwa timu wakati Pedro na Willian ni wachezaji royal?
 
d3453904b9c14c11d743480e295d9e14.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom