Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,307
Tetesi
CHELSEA YAMTENGEA £20M BAILEY
Chelsea wapo tayari kutoa kitita cha paundi milioni 20 kwa ajili ya winga wa Bayer Leverkusen Leon Bailey, limedai The Sun .
Blues wamekuwa wakimfuatilia Mjamaica huyo kwa kipindi cha miezi 18 na wanataka kuipiku Barcelona kumsajili mchezaji huyo wa miaka 20.
CHELSEA YAMTENGEA £20M BAILEY
Chelsea wapo tayari kutoa kitita cha paundi milioni 20 kwa ajili ya winga wa Bayer Leverkusen Leon Bailey, limedai The Sun .
Blues wamekuwa wakimfuatilia Mjamaica huyo kwa kipindi cha miezi 18 na wanataka kuipiku Barcelona kumsajili mchezaji huyo wa miaka 20.
to Face PSG
in Round of 16⚔*
Juventus
Tottenham
