Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,746
- 1,251,410
Tetesi
CHELSEA YAMTENGEA £20M BAILEY
Chelsea wapo tayari kutoa kitita cha paundi milioni 20 kwa ajili ya winga wa Bayer Leverkusen Leon Bailey, limedai The Sun .
Blues wamekuwa wakimfuatilia Mjamaica huyo kwa kipindi cha miezi 18 na wanataka kuipiku Barcelona kumsajili mchezaji huyo wa miaka 20.
CHELSEA YAMTENGEA £20M BAILEY
Chelsea wapo tayari kutoa kitita cha paundi milioni 20 kwa ajili ya winga wa Bayer Leverkusen Leon Bailey, limedai The Sun .
Blues wamekuwa wakimfuatilia Mjamaica huyo kwa kipindi cha miezi 18 na wanataka kuipiku Barcelona kumsajili mchezaji huyo wa miaka 20.