Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na hamjui Ibra huyo atafukuzwa hataka kama hajafanya vibay sda eti upangiwe psf au barc uwafunge kwa mpira gani kam west ham walio kata ring unawashindwa huko ataweza???
 
Mie nasema coach wetu mpuuuuuizi sana kikosi gani hiko zap kashachemka bakayoko kachemka kwa nni unaweka nje watu mwache afungwr tu iki ashike nafasi ya 6


Last Season Si Mulimwita Bonge la Kocha Huyo? 😀 😀 😀 😀
 
Wakuu vipi matokeo
e1c44c1e0d80a1b6048335dce0a9d478.jpg
 
Hii midfield ni ya kubadili mapema...Bakayoko na leo tena hana game nzuri.

Morata is as usual disappointing. Shida ni Conte hawezi ntoa Morata sasa hivi.

Anyway, imani yangu ni hata kwa kikosi hiki tunaweza na tunastahili kushinda...
 
Mnahitaji sub 3 za haraka.
Zappacasta atoke aingie Moses. Ile flank kulia kule imekufa. Bakayoko atoke hapa aingie Pedrito. Pale juu pamepooza.
Na mwisho aingie willian aongeze nguvu pale juu.

Mtajuta mkipoteza game hii. Hata sare si nzuri kwenu
 
Mie sielewi huyu coacha kasomea shule gan asie jielewa huyo bakayoko ana mkaza mwanae???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom