Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

NOVEMBER imeisha...

- Wakati mwezi huu unaanza, tulikuwa nafasi ya nne na point 8 nyuma ya vinara Manchester City

- Mwezi unaisha, tumeshinda mechi zote za ligi isipokuwa draw moja dhidi ya Liverpool

- Tupo nafasi ya 3 na point 11 nyuma ya vinara Manchester City.
 
Katika habari nyingine:

Former Chelsea technical director Michael Emenalo has been named as sporting director of French club Monaco.

_98956864_monaco.jpg
 
881944334.jpg.0.jpg


  • 20+ shots, 15+ corners, at least three good penalty shouts, more than a dozen shots on a target and probably just as many half- or near-chances. It was domination everywhere but the one place where it counts, on the scoreboard.
  • 3-4-3 to start, 3-5-2 for the final 10 minutes with Hazard coming on for Willian and Drinkwater replacing Pedro. Midfield trio of Fabregas-Kante-Drinkwater is something we might see more if Bakayoko continues to struggle.
  • Welcome back, Victor Moses. Time to shake off that rust.
  • Conte getting sent to the stands is hilarious, as long as the FA don’t compound the referee’s silliness with further suspension. Angelo Alessio capably deputized on the touchline, as he’s done before for Conte at Juventus.
  • Azpilicueta’s consecutive start streak ends; Chelsea still win. Phew!
  • Next up: Newcastle United on Saturday — see you there!
  • KTBFFH
Kutokana na michezo Kua mingi mwezi huu tutaona Conte akiwatumia wachezaji karibu wote.

Mfano Leo Bakayoko kapumzika na Azpilicueta na Hazard na Moses. Jmosi hawa wataanza. Na j4 watakuja wengine na km Luiz atakua kapona basi j4 anaweza kucheza.

Sasaivi Conte anafanya rotation ya wachezaji karibu kila sehemu. Mabeki, Wingbacks na viungo na attackers.

Batshuay apone haraka arudi uwanjani
 
Kutokana na michezo Kua mingi mwezi huu tutaona Conte akiwatumia wachezaji karibu wote.

Mfano Leo Bakayoko kapumzika na Azpilicueta na Hazard na Moses. Jmosi hawa wataanza. Na j4 watakuja wengine na km Luiz atakua kapona basi j4 anaweza kucheza.

Sasaivi Conte anafanya rotation ya wachezaji karibu kila sehemu. Mabeki, Wingbacks na viungo na attackers.

Batshuay apone haraka arudi uwanjani

Yani Mitchy kaumia wakati mbaya sana aisee..angekuwepo mechi kama ya leo lazima angeingia sub mapema tu!
 
NOVEMBER imeisha...

- Wakati mwezi huu unaanza, tulikuwa nafasi ya nne na point 8 nyuma ya vinara Manchester City

- Mwezi unaisha, tumeshinda mechi zote za ligi isipokuwa draw moja dhidi ya Liverpool

- Tupo nafasi ya 3 na point 11 nyuma ya vinara Manchester City.
Tutapambana tu match ngumu karibu zote tumezimaliza
 
Kutokana na michezo Kua mingi mwezi huu tutaona Conte akiwatumia wachezaji karibu wote.

Mfano Leo Bakayoko kapumzika na Azpilicueta na Hazard na Moses. Jmosi hawa wataanza. Na j4 watakuja wengine na km Luiz atakua kapona basi j4 anaweza kucheza.

Sasaivi Conte anafanya rotation ya wachezaji karibu kila sehemu. Mabeki, Wingbacks na viungo na attackers.

Batshuay apone haraka arudi uwanjani
Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia game bila aspi kwenye league
 
Huu ushindi ni sawa na tumefungwa tu. Conte nimeamini haijui Chelsea anabahatisha tu. Mara leo huyo anacheza namba ile mara kesho vile na hatunui hata Newcastle watacheza timu ipi?
 
Huu ushindi ni sawa na tumefungwa tu. Conte nimeamini haijui Chelsea anabahatisha tu. Mara leo huyo anacheza namba ile mara kesho vile na hatunui hata Newcastle watacheza timu ipi?
Lazima tukubali tuna kikosi kipana na wote wanatakiwa wapate nafasi ili viwango vyao viendelee kukua
Tulisajili wachezaji bora ni lazima conte aangalie namna ya kuwatumia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom