Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo ata liver kapanga kikosi kwa woga. Majembe mengine kaweka benchi wakati Conte ktk upande wa kiungo ameimarisha vibaya sn kwa kumuweka Danny
Nadhani lengo la Klopp ni kuwachosha wachezaji wa Chlesea kwanza kidogo ndipo aingize majembe.

Sasa kabla hajaingiza majembe yake anatakiwa awe ameloa hata tatu mapema sana
 
Nadhani lengo la Klopp ni kuwachosha wachezaji wa Chlesea kwanza kidogo ndipo aingize majembe.

Sasa kabla hajaingiza majembe yake anatakiwa awe ameloa hata tatu mapema sana
Hiyo plan yake ni mbovu na ameonyesha woga ktk hilo.

Akiwachosha wake hawachoki?

Kina Pedro Willian na Faby wakiingia atafanya nini?
 
pri_60387600.jpg



Matumaini mapya kwa Chelsea kutetea ubingwa wake, ni kurudi form kwa Hazard pamoja na kijana mpya toka Madrid Morata - Tushuhudie makubwa yale ya juzi cha mtoto.
Wakuu; nipo kwa luninga kuhakikisha maneno yangu; azp yupo upande wa kushoto kupambana na sarah; tactical sarah atakabiwa juu na Alonso akivuka salama anakutana na stop engine Azp. Combination ya mnywa maji na kante sina wasiwasi kabisa. Hii ni physical game pia bakayoko naona ni selection nzuri - fab asubiri.
 
Tunacheza kwa kujihami sana. Sio mbaya kujihami ila Conte kaenda game ya leo kutaka kucheza counter attack, matokeo yake bila Fabregas hakuna mipira inafika kwa Morata au Hazard mpaka Hazard aje kuchukua ndani kabisa huku.

Drinkwater na Bakayoko wanacheza mchezo ufanano naona. Ni bora kati ya mmoja wao atoke aingie Fabregas kwa kweli
 
Tunacheza kwa kujihami sana. Sio mbaya kujihami ila Conte kaenda game ya leo kutaka kucheza counter attack, matokeo yake bila Fabregas hakuna mipira inafika kwa Morata au Hazard mpaka Hazard aje kuchukua ndani kabisa huku.

Drinkwater na Bakayoko wanacheza mchezo ufanano naona. Ni bora kati ya mmoja wao atoke aingie Fabregas kwa kweli
Atoke bakayoko. Honestly jamaa simuelewagi anachofanya uwanjani
 
Tunacheza kwa kujihami sana. Sio mbaya kujihami ila Conte kaenda game ya leo kutaka kucheza counter attack, matokeo yake bila Fabregas hakuna mipira inafika kwa Morata au Hazard mpaka Hazard aje kuchukua ndani kabisa huku.

Drinkwater na Bakayoko wanacheza mchezo ufanano naona. Ni bora kati ya mmoja wao atoke aingie Fabregas kwa kweli
True..
 
Tunacheza kwa kujihami sana. Sio mbaya kujihami ila Conte kaenda game ya leo kutaka kucheza counter attack, matokeo yake bila Fabregas hakuna mipira inafika kwa Morata au Hazard mpaka Hazard aje kuchukua ndani kabisa huku.

Drinkwater na Bakayoko wanacheza mchezo ufanano naona. Ni bora kati ya mmoja wao atoke aingie Fabregas kwa kweli
Liva wabovu sana kwenye defence hii game mngecheza na kikosi Chenu cha Kila siku mngewafunga.Ingiza fab na Pedro.. Morata alishwe mipira....Beki hakuna liva
 
Liva wabovu sana kwenye defence hii game mngecheza na kikosi Chenu cha Kila siku mngewafunga.Ingiza fab na Pedro.. Morata alishwe mipira....Beki hakuna liva
Yaani hata sio lazima Pedro, Fabregas tu akacheze na mpira awe ana-link mipira kati ya forward na kiungo basi. Pendo kuingia inamaana viungo wawili watoke, tutaonewa sana kiungo akiwa Kante na Fabregas pekee.

Na hatuwezi kumtoa Hazard ili Pedro aingie
 
Chelsea wakirudisha itakuwa poa ila wakipigwa la pili ITAPENDEZA....
 
Sasa Conte ameanza kuzingua bakayoko. Alishapotea tangu kipindi cha kwanza alikuwa anamng'ang'ania tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom