Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,978
- Thread starter
- #44,921
Game ya leo kwa nionavyo mimi, Conte ameshaamini combo ya Fabregas na Morata na Hazard ni nzuri hivyo hao wote wanaanza.
Kwenye wing-backs sidhani kama Moses ataanza (tena ukizingatia mechi hii ngumu na ametoka majeruhi). Na hata akianza sidhani kama atamaliza Conte hana tabia ya kumchezesha mchezaji aliyetoka majeruhi dakika zote 90 kwa mechi ya kwanza.
Kwenye wing-backs sidhani kama Moses ataanza (tena ukizingatia mechi hii ngumu na ametoka majeruhi). Na hata akianza sidhani kama atamaliza Conte hana tabia ya kumchezesha mchezaji aliyetoka majeruhi dakika zote 90 kwa mechi ya kwanza.

️ @stevengerrard
