PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,105
- 14,356
hamuwezi mchukua IscoKivipi ndoto mkuu
hamuwezi mchukua IscoKivipi ndoto mkuu
Cahill ni beki mzuri sn sema hawezi kukimbia kwa kasi sn ndio mana huwezi muona akipanda mbele sn km Azpilicueta...Yani kuna watu walikuwa bize kumponda Cahil mpaka utamuonea huruma. Sikatai he is not our best defender lakini Rudiger wa leo hawezi kumpiga benchi Cahill. Labda msimu ujao.
Ingawa pia, ile midfield ya Bakayoko na Kante inasaidia sana ku-proof mashambulizi la sivyo hata Alonso angeaibishwa sana.
Itakuja kutokea tu ingawa si mapema hivi mana Faby anachezeshwa kwa kz moja tu ya utoaji pasi uliotukuka huku Baka yeye anachezeshwa kwa kz yake ya ukabaji mzuri na kupeleka timu mbele.Natamani siku moja Drinkwater na Kante wacheze pamoja...sijui itakuwaje..Baka akae benchi kidogo.
Kahama kimtindo ingawa hawezi maliza dk 90 na mfumo huo huo.hahahaa we jamaa wewe kwa hiyo kitokunyoa ndevu ndio kumefanya awe vizuri
ila naona amehama rasmi mfumo wa 3-4-3
na sasa ameamua kwenda na 3-5-2
huyo ndio konte naona west brom nao walijaribu kuuiga tena
Eden kimario......Nakubaliana na wewe. Kante yuko vizuri jamaa anatembea na movement....mpira unaelekea wapi na yeye huko huko.amini usiamini kante anafukia madudu mengi sana pale nyuma kwa cahill na wenzake
kwangu mimi hakuna kiungo bora mkabaji duniani kwa sasa kama kante
povu ruksa
Shukrani nyingi sn kwa Conte kumsajili Kante na kumleta darajani......Eden kimario......Nakubaliana na wewe. Kante yuko vizuri jamaa anatembea na movement....mpira unaelekea wapi na yeye huko huko.
Ufupi wake pia unamsaidia kupenya popote hata kama njia ni nyembamba lakini anapenya kama panya.
Tumwombee asipate jeraha kipindi hiki ambapo meli tayari imeng'oa nanga.
Hiyo ndio sehemu pekee anayotakiwa kuifanyia kz...Bakayoko anatakiwa kuacha mapepe anapopata nafasi ndani ya box amekuwa akikosa nafasi za wazi sana kwanzia game ya United na hii ya West Brom.
Hakika.......hapa tumelamba Dume. Naona jinsi anavyowapanda man u na west brom.........!!!!Shukrani nyingi sn kwa Conte kumsajili Kante na kumleta darajani......

Kweli HKhalifa AM. Akiwa makini anaweza kupiga hata hatrick kila mechi kwa sababu anakuwa huruBakayoko anatakiwa kuacha mapepe anapopata nafasi ndani ya box amekuwa akikosa nafasi za wazi sana kwanzia game ya United na hii ya West Brom.
Kwanini ishindikane kama tukishindwa kumchukua isco hivyo hivyo hawataweza kumchukua edenhamuwezi mchukua Isco
bakayoko ameshamstukia drinkwater naona hataki kabisa kuambiwa akakae jukwaaniNatamanni saana Drinkwater apate namba ya kudumu kwny kikosi cha kwanza
Sent from my HTC Desire 828 using JamiiForums mobile app
Hazard wanaweza mchukua na Isco msimchukue Perez anajua kutumia nguvu ya pesaKwanini ishindikane kama tukishindwa kumchukua isco hivyo hivyo hawataweza kumchukua eden
mashart ni kwamba hazard anauzwa pauni milion 300 na isco juuHazard wanaweza mchukua na Isco msimchukue Perez anajua kutumia nguvu ya pesa
mashart ni kwamba hazard anauzwa pauni milion 300 na isco juu
mia 3 duuuh na Isco juuHawataki watuachie hazard wetu...kesho kutwa anadondoka sign mpyamashart ni kwamba hazard anauzwa pauni milion 300 na isco juu