Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Duuùuùuuh ...... Pace alizofanya upande wa kulia mwa uwanja huyu Zappacosta jana kiukweli zimemlaza na mawazo sana Victor Moses usiku sio utanii... Achana na ile pace, namna alivyowakimbiza wale mabeki mpaka wakahisi wanakimbizwa na mtu asiyejulikana,kwangu mimi lile goli ndio kitu cha kuzungumzia zaidi kuliko goli 6 kwa FK Qarabag.
What a goal....!

Hii ndio njia sahihi ya kujitambulisha........

Arsenal naona wataanza visingizioo
Zappacosta alikuwa anafukuzia mwizi kimya kimya.....!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
39a301645eff9261aa82c00129f4d98c.jpg

Willian akiwa anafanya mambo yake, huwa hatakagi utani
Alipiga moja ikagonga mwamba lingekuwa bonge la goli pia
 
Guyz jana nimeangalia game yetu late coz nilikua naangalia ya Barca vs Juve live. Generally timu yetu iko poa, Conte angempa nafasi ya kutosha Musonda hata the whole 2nd half ningefurahi zaidi.
Zappacosta kaperform sana, namba ya Moses iko mashakani which is a good thing kwa sababu tutashuhudia creativity zaidi kwenye nafasi yao.
But guys huwezi kumchukulia poa Alex Sandro kwa sababu ya zappa, firstly Sandro ni Left wingback Zappa naturally ni wa kulia.
Pili Sandro kaperfom vizuri sana Last 2 seasons, sana . Actually slightly kuliko zappacosta, but maybe msimu huu zappa will be better, i hope so. Najua kuna watu watabisha kwa kutumia reference ya game ya Barca ya jana.

Mimi nadhani tungewapata wote wawili (Sandro na Zappa) tungekua vizuri zaidi msimu huu. kwa sababu moja
Formation ya 3 backline inategemea SANA sana perfomance ya hawa wingbacks, hawa ndo wanaoleta balance kwenye hii formation. juve last season walikua na defense nzuri but Sandro na Alves walikua ndo injini yao, attacks zao nyingi zilikua zinaanzia au kupitia pembeni
Sandro anamzidi Alonso defensively, Pace na somehow Quality ya Cross.
hapa kwenye low quality Cross ndo patamponza Moses Msimu huu. Moses ni mzuri one on one na take ons(labda kwa sababu ni winger kwa asili) lakini Krosi au Pass ya mwisho anayokuja kukupigia ni kama amechoka
All in all am glad we didn't sign Chamberlain
 
Guyz jana nimeangalia game yetu late coz nilikua naangalia ya Barca vs Juve live. Generally timu yetu iko poa, Conte angempa nafasi ya kutosha Musonda hata the whole 2nd half ningefurahi zaidi.
Zappacosta kaperform sana, namba ya Moses iko mashakani which is a good thing kwa sababu tutashuhudia creativity zaidi kwenye nafasi yao.
But guys huwezi kumchukulia poa Alex Sandro kwa sababu ya zappa, firstly Sandro ni Left wingback Zappa naturally ni wa kulia.
Pili Sandro kaperfom vizuri sana Last 2 seasons, sana . Actually slightly kuliko zappacosta, but maybe msimu huu zappa will be better, i hope so. Najua kuna watu watabisha kwa kutumia reference ya game ya Barca ya jana.

Mimi nadhani tungewapata wote wawili (Sandro na Zappa) tungekua vizuri zaidi msimu huu. kwa sababu moja
Formation ya 3 backline inategemea SANA sana perfomance ya hawa wingbacks, hawa ndo wanaoleta balance kwenye hii formation. juve last season walikua na defense nzuri but Sandro na Alves walikua ndo injini yao, attacks zao nyingi zilikua zinaanzia au kupitia pembeni
Sandro anamzidi Alonso defensively, Pace na somehow Quality ya Cross.
hapa kwenye low quality Cross ndo patamponza Moses Msimu huu. Moses ni mzuri one on one na take ons(labda kwa sababu ni winger kwa asili) lakini Krosi au Pass ya mwisho anayokuja kukupigia ni kama amechoka
All in all am glad we didn't sign Chamberlain
Chamberlain

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hata kama ni captain kwa kweli naomba Mungu asianze kabisa. Chemistry ya Rudiger, Luiz na Azpilicueta imekubali sana.

Halafu pia nataka Zappacosta apewe nafasi ya kuanza tuone itakuwaje
Hapa sasa umiza kichwa but all in all tumwachie kocha. Nilitamani sana Rudiger, Luis, Azpilicueta na Zappacosta wanze. Gemu yetu na Arsenal ni muhimu sana tena zaidi ya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom