fablo can
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,222
- 1,267
Kwa kweli sina koment. Nawasubiri kina malafyale waje waseme neno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo mzuriii...na uzuri wenzetu wamedroo.....UEFA CHAMPIONS LEAGUE. 12/09/2017
Full-Time.
Chelsea FC 6 - 0 Qarabag
Pedro 5'
Zappacosta 30'
Azpilicueta 55'
Bakayoko 71'
Batchuayi 76', 82'

Hapendagiiii ujingaaa![]()
Willian akiwa anafanya mambo yake, huwa hatakagi utani
La kulipia kishika uchumbaaWakuu goli la Zappacosta ni la Play Station aisee
Huyu jamaa bado utoto una msumbua..cahil n mjinga yan aon ata aib mech nzima yeye ndo mwenye kad![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my Iphone7 Using Jamiiforum mobile app
Mungu anamuona yaani anataka kumweka benchi kabisa MosesWakuu goli la Zappacosta ni la Play Station aisee
Yani alipofunga nimemuoneaje huruma V. Moses!!!!Mungu anamuona yaani anataka kumweka benchi kabisa Moses
Kapokea pass ya golikipa tu kateleleza nayo mbonge wa bao hatari
.sasa tunamsubiri arsenal
Duuùuùuuh ......Mungu anamuona yaani anataka kumweka benchi kabisa Moses
Kapokea pass ya golikipa tu kateleleza nayo mbonge wa bao hatari
.sasa tunamsubiri arsenal
Pace alizofanya upande wa kulia mwa uwanja huyu Zappacosta jana kiukweli zimemlaza na mawazo sana Victor Moses usiku sio utanii... Achana na ile pace, namna alivyowakimbiza wale mabeki mpaka wakahisi wanakimbizwa na mtu asiyejulikana,kwangu mimi lile goli ndio kitu cha kuzungumzia zaidi kuliko goli 6 kwa FK Qarabag.Mungu anamuona yaani anataka kumweka benchi kabisa Moses
Kapokea pass ya golikipa tu kateleleza nayo mbonge wa bao hatari
.sasa tunamsubiri arsenal
Zappacosta kabla hajaja Chelsea nilikuwa simjui kabisa, nilivyosikia dau limekibaliwa kumchukua ikabidi fasta niende Youtube kumuangalia.
Nilisema mapema drinkwater na zappacosta ni mashine niliwatazama sana huko walikokuwa kabla hawajaja chelseawadau kwa tulioona mech nadhan uyu zappacosta ni zaid ya danilo sliekataa kusain nadhan ata moses sasa atakaza kwa7bu uyu muitaly ni mashine ana kila ki2 dribbling nyc kros anajua kuatack yan n bonge la full back![]()
![]()
![]()
Sent from my Iphone7 Using Jamiiforum mobile app
Batshuay bado sana muda mwingi alikuwa hajui afanye nini team isiyojulikana kama ile bado inamsumbuaHiyo ilikua test mitambo tu. Ijayo ndio game yenyewe nadhani hata Conte atakua na kikosi kinachoeleweka.
Zapacosta anadhihirisha kweli katokea Italy![]()
![]()
Batshuayi kajitahidi
Pedro, Hazard, Bakayoko na Willian ni moto.
..... Next game Arsenal afe
Kabisa lee empire alikuwa vizuri sana unaweza kudhani ana mwaka mmoja kumbe kaja juzi tuDuuùuùuuh ......![]()
![]()
Pace alizofanya upande wa kulia mwa uwanja huyu Zappacosta jana kiukweli zimemlaza na mawazo sana Victor Moses usiku sio utanii... Achana na ile pace, namna alivyowakimbiza wale mabeki mpaka wakahisi wanakimbizwa na mtu asiyejulikana,kwangu mimi lile goli ndio kitu cha kuzungumzia zaidi kuliko goli 6 kwa FK Qarabag.
What a goal....!
Hii ndio njia sahihi ya kujitambulisha........
Arsenal naona wataanza visingizioo
Hapa hata sandro sio kitu tena zappacosta atoshaZappacosta kabla hajaja Chelsea nilikuwa simjui kabisa, nilivyosikia dau limekibaliwa kumchukua ikabidi fasta niende Youtube kumuangalia.
Alichokifanya jana (ukiachana na kufunga) ndicho nilichokiona anafanya kwenye mechi kadhaa. Jamaa ana kasi ya anakimbia, anajua kukaba, halafu anajua kutumbukiza cross sana.
Kwenye msimu wa mwaka jana Italy akuwa na cross 47 zilizolenga target, alikuwa nafasi ya pili nyuma ya Alex Sandro aliyekuwa nazo 48


Jana nilivyomwona nikasema kimoyo moyo inamaana Sadro alikuwa mzuri kuliko Zappacosta? Conte huwa akosei kusajili aiseee.wadau kwa tulioona mech nadhan uyu zappacosta ni zaid ya danilo sliekataa kusain nadhan ata moses sasa atakaza kwa7bu uyu muitaly ni mashine ana kila ki2 dribbling nyc kros anajua kuatack yan n bonge la full back![]()
![]()
![]()
Sent from my Iphone7 Using Jamiiforum mobile app
Mentor. Conte hakoseagi kusajili. Naamini Moses jana hajapata usingizi baada ya kumwangalia zapacosta. Ninachofurahi wachezaji wetu wana cheza kwa nidhamu na kila mmoja anaeingia uwanjani anajitoa mwanga kupigania timu yake. Rahaa sana kuwa na wachezaji kama kina Bakayoko Rudiger, Luis, Alonso, Kante, Hazard, Pedro, zappacosta, Courtois, Kunywa maji Azipilicueta, Cahill, Morata, Moses na wengine wengi