mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,791
Adhabu imeisha saiv ni majeruhi, ndo mana mechi za mwsho za nchi yake alikosa...,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
adhabu imeisha mechi ya janaAdhabu imeisha saiv ni majeruhi, ndo mana mechi za mwsho za nchi yake alikosa...,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
adhabu imeisha mechi ya jana
Mkata viuno vip matokeo yenu
Kuwa na adabu ww unajua mm ninani??Mkata viuno vip matokeo yenu
Hamna namna lzm Costa apigiwe magoti arudi
Morata hawezi kukupa hata CL football
Gary Cahill siyo majeruhi alipata kadi nyekundu ya moja kwa moja katika mechi ya kwanza dhidi ya Burnley hivyo adhabu yake ni kukosa mechi tatu ambazo ni Tottenham,Everton na Leicester hakuna mchezaji yoyote mwenye injury kwa sasa kwa maelezo ya Conte katika press conference ijumaa
kesho
Hiyo mikwara yako yakizamani mkuu. au ndio umeiga kwa josee juzi baada ya kubanwa mbavu alikataa hata kumpa mkono kocha wa StokeKuwa na adabu ww unajua mm ninani??
Usije jikuta maisha yako yapo matatani
Sent using Jamii Forums mobile app



Usije jikuta unazungumza na nchembaHiyo mikwara yako yakizamani mkuu. au ndio umeiga kwa josee juzi baada ya kubanwa mbavu alikataa hata kumpa mkono kocha wa Stoke
Sent using Jamii Forums mobile app













bado mapema sana kuzungumzia japo kwa sasa timu ipo vizuri na imekamilika lakini kwa maono yangu pale kwa morata kutakuwa na pengo kubwa endapo atapata majeruhi au atafungiwa kwasababu Michy Batshuayi siyo level za kuwa mshambuliaji chaguo la pili kwa klabu kubwa kama ChelseaFans mambo vip
...mwenendo wa clab mnauonaje?
Wap kuna tatizo mpk sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww usinitishe nyumbu fc wwKuwa na adabu ww unajua mm ninani??
Usije jikuta maisha yako yapo matatani
Sent using Jamii Forums mobile app