Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

bro fabregas natambua umuhimu wake na mchango wake uwanjani, but believe me fabregas kachoka sana sio yule ambaye tulimzoea.
huyu wa saizi hana ''pace''+hakabi, yeye anasubiri apige tu pass za mwisho.
kama unakumbuka hata last season konte alitumia partnership ya conte+matic,
unafikiri kwanini fabregas alikua anaanzia benchi?????? fab sio yule tuliemzoea wasaizi anaku offer kitu ki1 tu.
last season alikua anacheza ''light game'' mfano za akina swansea, leicester.
sitegemei kuona fab akianza mbele ya bakayoko/drink water.
Hapo kweny kukaba sawa sababu yeye ni playmaker, so hata cku moja mctegemee atakaba ..,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kweny kukaba sawa sababu yeye ni playmaker, so hata cku moja mctegemee atakaba ..,,,

Sent using Jamii Forums mobile app

FAB hana pace+hakabi, fab akianza team inazidiwa yaani sisi chelsea tunakuwa kama team ndogo.
hivi wewe unaielewa partnership ya ''kante+fab''??????? hapo lazima kante akalale na viatu maana atachoka sana 7b ya kucover pale fab anashindwa kaba.
kante+bakayoko?????? hapa ndo penyewe.
kante+drink water????? hawa wana chemistry moja matata sana.
 
Wachezaji kuwakataa pamoja na kucheza UCL kunaashiria nini? Yaani mchezaji anaona bora abaki Everton kuliko kuja darajani, kweli??? Yaani mchezaji anaona bora aende Loserpool kuliko kuja kwenu, kweli??? Hii sio ishara nzuri hata kidogo blauzi fans.
Ross barkley ana injury, coleman amemuambia hana mpango nae tena, ni kweli inasemekana amekataa kujiunga na chelsea hii inaweza kuwa imesababishwa ujio wa drink water.

Assume wewe ndo barkley, unatakiwa upone vizuri then uanze kutafuta match fitness ya hali ya juu kisha uanze kuzoea mateam mate wapya bado uzoee mfumo na tactics ukimaliza hapo upambane kupata number mbele ya worldclass players hapo hapo unawaza kucheza kombe la dunia!!!

Do you think is easy??? Mm hata medical check up nisingefanya
 
Chamberlain nahisi hataki kukutana na sadio mane 1 vs 1 tena maana kukaba winger wenzako ni shughuli sio mchezo!!!

Any way ni kawaida ya waingereza kujiona masuperstar sisi tunamuona wa kawaida lakini unakuta yeye anajiona ni next steven gerald na hastaili kucheza wingback!! Hapa ndo pale unaposikia chemicola ni cocacola

Sent using Jamii Forums mobile app
 
b151f65b4ccf562897b7a4c4b7562e55.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro Kwa Cahill nasapoti ila fabregas... Yule ni Chelsea magician ata Conte anamuelewa...

Nadhani ushauckia huu wimbo uwanjan...

"¶Ohhhh,
Fabregas is magic, he wears a magic hat,
He could have signed for Arsenal, but he said no f*ck that,
He passes with his left foot, he passes with his right,
And when we win the league again, we're gonna sing this song all night..." ¶

Sent using Jamii Forums mobile app
Fabrigasi ana match zake so bado ni wa umuhimu kwetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom