Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tupo pungufu mtu mmoja, then tunashambulia Kurudisha Magoli, huku barnley wanatuchezea counter, so konte inabidi awatulize wachezaji sisi ndiyo tupige counters, ila kazi ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Laana ya Costa kivipi?, yaani timu haina uwezo wa kumwacha kchezaji yoyote kwa kuogopa laana?, Mwalimu kasema hawezi kufanya kazi na Costa kwa vigezo vyake kama Mwalimu, wewe uku huku Tanzania unazungumzia mambo ya laana
Haya mambo yapo bongo tu, laana kitu gani bwana.
 
Chelsea bila Hazard na Costa ni Sanderland
Mkuu umemsahau huyu kiumbe
e05884fb36854cdc0cd0276081991838.jpg


Sent from myself
 
Hao burnley dawa Chelsea wasingerudi kipindi cha pili, wangesepa juu kwa juu
 
Hahahaha tunasubiri Excuses za Conte maana naye kashaanza kuleta zile za Mourinho za kulalamikia uchezeshaji wa marefa pindi wachezaji wa Chelsea wanapopigwa RED... Chelsea hadi sasa mnasababisha Arsenal asiwe kileleni.
Shida hata siangalii mechi...huku Huwaii ni saa kumi usiku mkuu...nipo tu livescore so siwezi kuongelea hizo red na yellow.

Ila whichever the case...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakuwaje mkuu? Usicheke sana kesho mtaloweshwa nyinyi...

Msimu huu sio msimu uliopita tanakanyaga kila kinachokatiza mbele yetu

Hongera kwa ushindi wa kubangaiza jana

Ila hawa jamaa yetu leo wanatia aibu, najua Burnley kipindi cha pili ndio wanafungaga sana magoli lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom