barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,804
Hii ndio EPL, welcome back dear friend EPL! We missed you!!
dah we acha tu A.conte hadi hurumaMpaka wanatia huruma
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my HTC U11 using JamiiForums mobile app
Leo nahisi wanararua mshono wa chelsea!Leo sio tuu kama mkipata point 3 hata mkipata sare itakuwa maajabu
Kuna uwezekano Burnley wakajiongezea magoli zaidikipindi cha pili, yaani wakajipigia tuu leo






Kweli kabisa, timu hakuna paleLeo sio tuu kama mkipata point 3 hata mkipata sare itakuwa maajabu
Kuna uwezekano Burnley wakajiongezea magoli zaidi kipindi cha pili, yaani wakajipigia tuu leo
Naombeni matokeo ya Chelsea
Matokeo ya Chelsea nenda kamuulize Ollachuga Oc yupo Manchester United (Red Devils) Special Thread muda huu kaenda kujipunguzia stress kuleNaombeni matokeo ya Chelsea
Kweli kabisa, timu hakuna pale
One match of 38????!!!!!Laana ya mnachomfanyia Costa haita waacha salama
Hela zote mlizokuwa nazo inakuwaje msiwe na timu ya ushindani?
Laana ya mnachomfanyia Costa haita waacha salama
Hela zote mlizokuwa nazo inakuwaje msiwe na timu ya ushindani?
Dalili ya mvua.......